Skate Boy
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 312
- 204
It's just a vision boy, nothing is yet!!!Safari ya Dodoma mkuu na kuelekea uchumi wa viwanda
It's just a vision boy, nothing is yet!!!Safari ya Dodoma mkuu na kuelekea uchumi wa viwanda
Hivi awamu hii ya tank nayo inaomba?Mbona mnapenda uchochezi.Kuna jambo SILIPENDI kwa rais wetu Magufuli.
Kila kiongozi akitutembelea kunakuwa na sentensi hii "TUMEOMBA MSAADA tusaidiwe"
Hii tabia siyo nzuri. INATUDHALILISHA sana. Itafanya wageni waogope kututembelea.
We cannot keep on BEGGING. So as to be BRANDED as a begging nation.
We should discard that kind of mentality. KUOMBAOMBA ni Tabia ni AIBU.
Wengine tukisikia kauli hiyo inatusononesha. Hata kama basi mmepata msaada, itumike lugha nyingine MBADALA bada ya "TUMEOMBA"
Hakuna biashara ya ndege siku hizi katika dunia, waliowahi kuanza biashara hii kama Ethiopian Airway, Kenya Airway KIM, Fly Emirates na mengine kama hayo ndio tayari washateka soko, wewe unaanza leo unatarget soko lipi?? Kama lengo lenu ni soko LA ndani au Africa, hizo fikra futeni kabisa, how would you compete na makampuni ya ndani kama vile Fast jet na Precision Air??Naziona, hongera. Hivi tutajenga uchumi upi na ndege mbili.
Kwa hiyo mmeahidi mambo yasiyokuwa ndani ya uwezo wenu!!?Dunka imebadilika kaka Pascal. Hiyo reli yako iliyojengwa na mjerumani haiwezi kuhimili Treni za sasa. Otherwise unataka tuendelee kuishi maisha ya kimaskini qmbayo yatatuchelewesha kusonga mbele. Tuache tutekeleze ahadi ya chama chetu ili 2020 mtuhukumu vizuri
Sijui ni nini Kati ya tunavyovihitaji tunaweza fanya wenyewe.Kuhusu-SGR tungejenga kiwanda cha mataruma hapa TZ ingekuwa vizuri sana.Chuma (Iron Ore) kipo kingi sana huko Liganga na Handeni maeneo ya Kitumbi!
Mtu unamdai Dola Bilioni 191, hasemi atazilipaje, bali anakuahidi kukupa zawadi ya dola milioni 300, za goodwill kuonyeshea nia njema ya kukulipa, wewe badala ya kumkatalia kuwa hatuhitaji zawadi yoyote kabla ya kujua hatma ya deni letu la dola bilioni 191, lakini kutokana na umasikini wetu, kazi yetu ni kufurahia zawadi, kuipokea na kusema asante.Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kuomba tuu na kupokea chochote atakachopewa, akiisha pewa kazi yake ni kusema "hewala" tuu, hata kama amepewa masharti magumu kiasi gani!.
Paskali.
Precisely!Tunapewa dola milioni 300, kazi yetu ni kupokea na kusema asante.
Lazima tuwe ni watu wa shukrani, kwa kushukuru kwa madogo, ili tupatiwe makubwa.
Asante Mungu kwa hizi dola milioni 300, tulikuwa tunazihitaji sana!, tena tungejua mapema, tusingekopa Uswisi dola milioni 500 kwa riba ya asilimia 80%, tungekopo dola milioni 200 tuu!.
Paskali
Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage we are not on the right track! .
Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kuomba tuu na kupokea chochote atakachopewa, akiisha pewa kazi yake ni kusema "hewala" tuu, hata kama amepewa masharti magumu kiasi gani!.
Jee sisi kama nchi, tuendelee tuu kuomba na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo? na tukipewa tuwe na uwezo wa kusema sharti hili sawa, na sharti hili hapana?. Maana Waturuki nao sasa ni super power, nao wanatoa misaada na masharti, sisi ni kufuata tuu? .
Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa!. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 tuu za SGR, tusiwakubalie unless tumejiridhisha ni nani ata fund the rest.
Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuendelee kujiteulia mtu yoyote ali muradi ana Ph.De tuu hata bila track record yoyote ya delivery, hata kama tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .
Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines? .
Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the fullest hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .
Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.
Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .
Sisi Watanzania Ni Wazima Kweli Kwenye Kupanga Vipaumbele Vyetu?.
Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua na kupanga vipaumbele vyetu?, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.
Wachumi wetu humu tusaidieni, Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo kwa asilimia 80%, hii maana yake, kama nchi yetu inahitaji maendeleo ya kweli ya taifa as a nation, then priority number moja katika juhudi za kuleta maendeleo, ni kuinua sekta ya kilimo. Just imagine kwa kufanya a comparative analysis, fedha zilizotumika kununulia ndege mpya na hizi zinazotumika kujenga SGR, zingeelekezwa kwenye kuinua sekta ya kilimo, ni wapi Tanzania tungepata manufaa zaidi?.
Tatizo ni Nini?.
Tangu baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha, Tanzania kama nchi, hatujahi kukaa chini kama taifa kupanga dira na dhima ya taifa, tunataka kujenga taifa la namna gani na vipaumbele vyetu ni vipi. Kila rais anayekuja anakuja na vipaumbele vyake, Kikwete kataka kujenga bandari Bagamoyo, Magufuli kaingia, amesimamisha bandari ya Bagamoyo, yeye anajenga uwanja wa ndege Chato!. Tanzania lazima tufike mahali tuamue vipaumbele vyetu ni nini, tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politicise kila kitu hadi uchumi? .
Tanzania Nchi Karimu Kwa Wageni.
Tanzania ni nchi karimu sana kwa wageni, wakati wa ukoloni, tuliwakaribisha wazungu,
tukawakaribisha Wahindi, tumewakaribisha Wachina, na sasa tumewakaribisha Waturuki karibuni sana!.
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities!.
Welcome one
Welcome all.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.
The problem is we chose to beg.We have very bright minds but we resorted to being recipients instead of using our minds.Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage we are not on the right track! .
Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kuomba tuu na kupokea chochote atakachopewa, akiisha pewa kazi yake ni kusema "hewala" tuu, hata kama amepewa masharti magumu kiasi gani!.
Jee sisi kama nchi, tuendelee tuu kuomba na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo? na tukipewa tuwe na uwezo wa kusema sharti hili sawa, na sharti hili hapana?. Maana Waturuki nao sasa ni super power, nao wanatoa misaada na masharti, sisi ni kufuata tuu? .
Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa!. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 tuu za SGR, tusiwakubalie unless tumejiridhisha ni nani ata fund the rest.
Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuendelee kujiteulia mtu yoyote ali muradi ana Ph.De tuu hata bila track record yoyote ya delivery, hata kama tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .
Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines? .
Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the fullest hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .
Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.
Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .
Sisi Watanzania Ni Wazima Kweli Kwenye Kupanga Vipaumbele Vyetu?.
Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua na kupanga vipaumbele vyetu?, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.
Wachumi wetu humu tusaidieni, Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo kwa asilimia 80%, hii maana yake, kama nchi yetu inahitaji maendeleo ya kweli ya taifa as a nation, then priority number moja katika juhudi za kuleta maendeleo, ni kuinua sekta ya kilimo. Just imagine kwa kufanya a comparative analysis, fedha zilizotumika kununulia ndege mpya na hizi zinazotumika kujenga SGR, zingeelekezwa kwenye kuinua sekta ya kilimo, ni wapi Tanzania tungepata manufaa zaidi?.
Tatizo ni Nini?.
Tangu baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha, Tanzania kama nchi, hatujahi kukaa chini kama taifa kupanga dira na dhima ya taifa, tunataka kujenga taifa la namna gani na vipaumbele vyetu ni vipi. Kila rais anayekuja anakuja na vipaumbele vyake, Kikwete kataka kujenga bandari Bagamoyo, Magufuli kaingia, amesimamisha bandari ya Bagamoyo, yeye anajenga uwanja wa ndege Chato!. Tanzania lazima tufike mahali tuamue vipaumbele vyetu ni nini, tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politicise kila kitu hadi uchumi? .
Tanzania Nchi Karimu Kwa Wageni.
Tanzania ni nchi karimu sana kwa wageni, wakati wa ukoloni, tuliwakaribisha wazungu,
tukawakaribisha Wahindi, tumewakaribisha Wachina, na sasa tumewakaribisha Waturuki karibuni sana!.
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities!.
Welcome one
Welcome all.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.
Hili la kutopandisha mishahara mwaka wa 4 huu ni uthibitisho wa we are not on the right track.
P
Wanabodi, katika pita pita zangu humu jf, nikakutana na hii post yangu ya mwaka 2017 kuhusu kukubali kile kishika uchumba cha dola milioni 300. Nilichokisema hapa, kimekuja kutokea exactly the same!. Kiukweli kauli huumba!.Mtu unamdai Dola Bilioni 191, hasemi atazilipaje, bali anakuahidi kukupa zawadi ya dola milioni 300, za goodwill kuonyeshea nia njema ya kukulipa, wewe badala ya kumkatalia kuwa hatuhitaji zawadi yoyote kabla ya kujua hatma ya deni letu la dola bilioni 191, lakini kutokana na umasikini wetu, kazi yetu ni kufurahia zawadi, kuipokea na kusema asante.
Lazima tuwe ni watu wa shukrani, kwa kushukuru kwa kidogo, ili tupatiwe kikubwa.
Asante Mungu kwa hizi dola milioni 300, za zawadi, tulikuwa tunazihitaji sana!, tena tungejua mapema, tusingekopa Uswisi dola milioni 500 kwa riba ya asilimia 80%, tungekopa dola milioni 200 tuu kujazilizia.
Kwenye hili la kukubali kupokea zawadi yoyote toka kwa mdeni wako, bila kusema deni atalipa lini na atalipa vipi, linanitatiza, kwa sababu I fear the Greeks especially when they bring gifts.
Kwa vile tumekubali kupokea zawadi kwa mdeni wetu, naomba kutoa angalizo, kuwa baada ya zawadi kupokelewa, nawaombeni sana msije kushangaa ikawa ndio imetoka hiyo, hiyo zawadi ikageuka ndio fidia ya deni letu.
Umasikini Kazi!.
Paskali
Mkuu umeanza tena? Usijisahau sana maana ulikuwa umeshaanza kuunga juhudi ingelikuwa vema ukatulia ili mambo yaende inavyotakiwa pasipo kuchanganya hili "gunzi". Maana utakavyozidi kuandika ndivyo "watu" watatafsiri kuwa ni "hasira za kukosa teuzi".Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage we are not on the right track! .
Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kuomba tuu na kupokea chochote atakachopewa, akiisha pewa kazi yake ni kusema "hewala" tuu, hata kama amepewa masharti magumu kiasi gani!.
Jee sisi kama nchi, tuendelee tuu kuomba na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo? na tukipewa tuwe na uwezo wa kusema sharti hili sawa, na sharti hili hapana?. Maana Waturuki nao sasa ni super power, nao wanatoa misaada na masharti, sisi ni kufuata tuu? .
Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa!. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 tuu za SGR, tusiwakubalie unless tumejiridhisha ni nani ata fund the rest.
Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuendelee kujiteulia mtu yoyote ali muradi ana Ph.De tuu hata bila track record yoyote ya delivery, hata kama tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .
Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines za reli ya Kati, wakati the biggest cargo traffic ni mizigo inayo cross Tunduma Border, ndio the busiest border, kwa nini hii SGR ipite mule mule kwenye reli tulioshindwa kuitumia ipasavyo sasa tunajenga mpya?. Hii sio a white elephant project?.
Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the full capacity hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .
Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.
Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .
Sisi Watanzania Ni Wazima Kweli Kwenye Kupanga Vipaumbele Vyetu?.
Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua na kupanga vipaumbele vyetu?, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.
Wachumi wetu humu tusaidieni, Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo kwa asilimia 80%, hii maana yake, kama nchi yetu inahitaji maendeleo ya kweli ya taifa as a nation, then priority number moja katika juhudi za kuleta maendeleo, ni kuinua sekta ya kilimo. Just imagine kwa kufanya a comparative analysis, fedha zilizotumika kununulia ndege mpya na hizi zinazotumika kujenga SGR, zingeelekezwa kwenye kuinua sekta ya kilimo, ni wapi Tanzania tungepata manufaa zaidi?.
Tatizo ni Nini?.
Tangu baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha, Tanzania kama nchi, hatujahi kukaa chini kama taifa kupanga dira na dhima ya taifa, tunataka kujenga taifa la namna gani na vipaumbele vyetu ni vipi. Kila rais anayekuja anakuja na vipaumbele vyake, Kikwete kataka kujenga bandari Bagamoyo, Magufuli kaingia, amesimamisha bandari ya Bagamoyo, yeye anajenga uwanja wa ndege Chato!. Tanzania lazima tufike mahali tuamue vipaumbele vyetu ni nini, tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politicise kila kitu hadi uchumi? .
Tanzania Nchi Karimu Kwa Wageni.
Tanzania ni nchi karimu sana kwa wageni, wakati wa ukoloni, tuliwakaribisha wazungu,
tukawakaribisha Wahindi, tumewakaribisha Wachina, na sasa tumewakaribisha Waturuki karibuni sana!.
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities!.
Welcome one
Welcome all.
Mungu Ibariki Tanzania.
Paskali.