Japo Beggars Can Not Be Choosers, Tuache Siasa Kwenye Uchumi. We Have to Choose Or. ..

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,570
Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage we are not on the right track! .

Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kuomba tuu na kupokea chochote atakachopewa, akiisha pewa kazi yake ni kusema "hewala" tuu, hata kama amepewa masharti magumu kiasi gani!.

Jee sisi kama nchi, tuendelee tuu kuomba na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo? na tukipewa tuwe na uwezo wa kusema sharti hili sawa, na sharti hili hapana?. Maana Waturuki nao sasa ni super power, nao wanatoa misaada na masharti, sisi ni kufuata tuu? .

Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa!. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 tuu za SGR, tusiwakubalie unless tumejiridhisha ni nani ata fund the rest.

Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuendelee kujiteulia mtu yoyote ali muradi ana Ph.De tuu hata bila track record yoyote ya delivery, hata kama tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .

Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines za reli ya Kati, wakati the biggest cargo traffic ni mizigo inayo cross Tunduma Border, ndio the busiest border, kwa nini hii SGR ipite mule mule kwenye reli tulioshindwa kuitumia ipasavyo sasa tunajenga mpya?. Hii sio a white elephant project?.

Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the full capacity hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .

Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.

Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .

Sisi Watanzania Ni Wazima Kweli Kwenye Kupanga Vipaumbele Vyetu?.
Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua na kupanga vipaumbele vyetu?, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.

Wachumi wetu humu tusaidieni, Tanzania ni nchi inayotegemea kilimo kwa asilimia 80%, hii maana yake, kama nchi yetu inahitaji maendeleo ya kweli ya taifa as a nation, then priority number moja katika juhudi za kuleta maendeleo, ni kuinua sekta ya kilimo. Just imagine kwa kufanya a comparative analysis, fedha zilizotumika kununulia ndege mpya na hizi zinazotumika kujenga SGR, zingeelekezwa kwenye kuinua sekta ya kilimo, ni wapi Tanzania tungepata manufaa zaidi?.

Tatizo ni Nini?.
Tangu baada ya kuzikwa kwa Azimio la Arusha, Tanzania kama nchi, hatujahi kukaa chini kama taifa kupanga dira na dhima ya taifa, tunataka kujenga taifa la namna gani na vipaumbele vyetu ni vipi. Kila rais anayekuja anakuja na vipaumbele vyake, Kikwete kataka kujenga bandari Bagamoyo, Magufuli kaingia, amesimamisha bandari ya Bagamoyo, yeye anajenga uwanja wa ndege Chato!. Tanzania lazima tufike mahali tuamue vipaumbele vyetu ni nini, tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politicise kila kitu hadi uchumi? .

Tanzania Nchi Karimu Kwa Wageni.
Tanzania ni nchi karimu sana kwa wageni, wakati wa ukoloni, tuliwakaribisha wazungu,
tukawakaribisha Wahindi, tumewakaribisha Wachina, na sasa tumewakaribisha Waturuki karibuni sana!.
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities!.

Welcome one
Welcome all.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
 
Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage.

Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kupokea chochote atakachopewa na kazi yake ni kusema "hewala" jee tuendelee kuomba tuu na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo?.

Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 za SGR, tusiwakubalie unless tumajiridhisha ni nani ata fund the rest. Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuteue tuu hata tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .

Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines? .

Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the fullest hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .

Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.

Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .

Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua vipaumbele vyetu, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.

Jee Tanzania lazima tufike mahali tuamue tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politocise kila kitu hadi uchumi? .

Tuliwakaribisha wazungu,
Tukawakaribisha Wahindi, Tumewakaribisha Wachina,
Na sasa Waturuki karibuni sana!,
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities! .

Welcome one
Welcome all.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Paskali, usisumbue watu, kuwa mkweli , kinachoendelea nchini hapa unakijua na kianjulikana. Acha tu mambo yaende yanavyotaka na wenye mamlaka.
 
Dunka imebadilika kaka Pascal. Hiyo reli yako iliyojengwa na mjerumani haiwezi kuhimili Treni za sasa. Otherwise unataka tuendelee kuishi maisha ya kimaskini qmbayo yatatuchelewesha kusonga mbele. Tuache tutekeleze ahadi ya chama chetu ili 2020 mtuhukumu vizuri
One year gone...... mmetekeleza nini?
 
Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage.

Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kupokea chochote atakachopewa na kazi yake ni kusema "hewala" jee tuendelee kuomba tuu na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo?.

Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 za SGR, tusiwakubalie unless tumajiridhisha ni nani ata fund the rest. Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuteue tuu hata tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .

Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines? .

Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the fullest hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .

Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.

Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .

Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua vipaumbele vyetu, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.

Jee Tanzania lazima tufike mahali tuamue tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politocise kila kitu hadi uchumi? .

Tuliwakaribisha wazungu,
Tukawakaribisha Wahindi, Tumewakaribisha Wachina,
Na sasa Waturuki karibuni sana!,
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities! .

Welcome one
Welcome all.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.
Ningependa kulijua hilo kabila la "watafutaji" ili tupime na uwekezaji wao so far!
 
Wakati Marekani wamegoma kutupa msaada wa MCC mlisema waende zao kuna China ,Mchina akakubali ku fund huo mradi wa reli ila tenda apewe yeye mkamtolea nje ,haya sasa Uturuki naye kaja tunaambiwa na Paskali tuwe maskini jeuri

Yangu macho tu ,endeleeni kujenga mnara wenu wa Babeli
 
Dunka imebadilika kaka Pascal. Hiyo reli yako iliyojengwa na mjerumani haiwezi kuhimili Treni za sasa. Otherwise unataka tuendelee kuishi maisha ya kimaskini qmbayo yatatuchelewesha kusonga mbele. Tuache tutekeleze ahadi ya chama chetu ili 2020 mtuhukumu vizuri
Hauja jibu hoja, tueleza ilikuwaje mkaiua njia ya Tanga,Moshi mpaka Arusha? TAZARA na reli ya kati zinatumika ipasavyo ili kulinufaisha taifa kiuchumi au ndio mnataka kupiga tanchi tena kwenye SGR halafu mzigo utuangukie wengine?
 
Tetesi zinasema.....

Wachina walitaka kila kitu wafanye wao...........

Wachina waligoma kushirikiana na kampuni isiyo na viwango ya ndani hivyo kigezo kikawa kukata kipande cha 400km...............

Lakini si unajua kinachoendelea chato na wajenzi Wa airport ndio washirika wakuu na Uturuki wakimaliza airport wanaamia kwenye reli...........

Makubaliano waturuki wamekubali kushirikiana na kampuni hii ya ndani ili kupiga hizo pesa kwenye hicho kipande cha 400km...........

Yeye ndiye muomba pesa yeye ndiye mjenzi, mjenzi ndiye msimamizi Wa viwango, na ndiye mtoa tenda mwisho mtoa tenda ndiye mlipwa pesa .........

Pesa za mkopo zitakazolipwa na vizazi vijavyo poleni sana watanzania.............

Jamaa ndio maana mnaona anakazana na kujenga kujenga kujenga pesa yote itapelekwa kwenye ujenzi either Wa majengo kama Dodoma mabarabara na reli lengo ni kupiga pesa na pesa zirudi kwangu.............

"The beautiful one never yet born"
 
Wanabodi,
Naomba kwanza kukiri kuwa mimi sio mchumi, ila ninasoma tuu hoja za wachumi katika economical direction of our nation, the opportunities we have and how do we grab them for our advantage we are not on the right track! .

Japo sisi ni ka nchi masikini as beggars as we are, na kuna msemo unaosema "beggars can not be choosers" hivyo kazi ya omba omba ni kuomba tuu na kupokea chochote atakachopewa, akiisha pewa kazi yake ni kusema "hewala" tuu, hata kama amepewa masharti magumu kiasi gani!.

Jee sisi kama nchi, tuendelee tuu kuomba na kupokea kwa kusema hewala, au sasa tubadilike,kama ni kuomba, tuombe kwa malengo? na tukipewa tuwe na uwezo wa kusema sharti hili sawa, na sharti hili hapana?. Maana Waturuki nao sasa ni super power, nao wanatoa misaada na masharti, sisi ni kufuata tuu? .

Tanzania tuna makabila mengi. Kuna makabila ya watafutaji na kuna makabila ya omba omba. Yale ya omba omba wao kuomba omba wanaona sifa, na kuna makabila ni masikini jeuri, makabila hayo hata ukiwa huna chakula, kuliko kuomba na kudhalilishwa, kwa makabila haya yata opt kulala njaa!. Hivyo Tanzania katika baadhi ya miradi, lazima tukomae, tuwe masikini jeuri, tusikubali tuu kila kitu kwa sababu ya umasikini wetu, mfano hili la Waturuki na ujenzi wa KM 400 tuu za SGR, tusiwakubalie unless tumejiridhisha ni nani ata fund the rest.

Jee katika uteuzi wa madereva wa uchumi wetu, jee tuendelee kujiteulia mtu yoyote ali muradi ana Ph.De tuu hata bila track record yoyote ya delivery, hata kama tukiteua omba omba alimuradi ana Ph.D? .

Case Study ni SGR.
Tanzania tuna reli mbili kuu, Reli ya Kati na Tazara. Both of them are under utilized. Kama tumeshindwa tuu kutumia hizi reli zilizopo to the full capacity, why construct a new SGR along the same lines? .

Kwa nini tusingeimarisha kwanza hiki kilichopo na kukitumia to the fullest hadi kikazidiwa ndipo kitafutiwe usaidizi? .

Juzi juzi nilitembelea Central Corridor na kushuhudia jinsi bandari kavu ya Isaka ilivyo a white elephant, TRL wanashindwa kupeleka mizigo kwa sababu hakuna crane ya kushusha containers! . Ghala la Isaka limekodishwa kuwa ni storage facility kwa mizigo ya Azam! . Yaani tumeshindwa kupeleka mizigo Isaka kwa vijisabu vya kijinga kabisa halafu leo tunazungumzia kujenga reli nyingine along side hii iliyopo ambayo tumeshindwa kuitumia!.

Reli ya kati ilikuwa na branch inakwenda Tanga, Moshi na Arusha, what happened tumeshindwa kukitumia leo tunazungumzia kujenga reli mpya kwa mkopo? .

Wachumi hebu tusaidieni, are we OK kwenye kuchagua vipaumbele vyetu, mbona kwenye bomba la mafuta la Uganda tumeweza?. Mbona bomba la gesi tumeweza?, mbona kununua ndege mpya kwa cash kupitia mtindo wa kupiga tanchi tumeweza, kwenye reli tunashindwa nini?!.

Jee Tanzania lazima tufike mahali tuamue tunataka nini, what for?, na tutapataje?, or we keep sitting na kuwategemea tuu hawa political Ph.Ds wetu wa uchumi waki politicise kila kitu hadi uchumi? .

Tuliwakaribisha wazungu,
Tukawakaribisha Wahindi, Tumewakaribisha Wachina,
Na sasa Waturuki karibuni sana!,
In fact everybody karibuni sana Tanzania, is the land of plenty and endless opportunities!.

Welcome one
Welcome all.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali.


Nafikiri labda haujaelewa vizuri kinachoondelea kuhusu hizo km 400, vinginevyo usingeandika ulivyoandika, nakushauri jielimishe kwanza kinachoendelea kwenye huu mradi wa SGR ndiyo urudi tena vinginevyo nafikiri umepotosha sana!
 
Nafikiri labda haujaelewa vizuri kinachoondelea kuhusu hizo km 400, vinginevyo usingeandika ulivyoandika, nakushauri jielimishe kwanza kinachoendelea kwenye huu mradi wa SGR ndiyo urudi tena vinginevyo nafikiri umepotosha sana!
Wewe unaelewa kinachoendelea tafadhali tuelimishe ili yeye na wengine tulio na mawazo kama yake tusiendelee kupotoka.
 
Kati ya wadanganyika 10,binadamu ni 3 na watu ni 7 na humo humo ndio kuna decision makers na humo humo ndio kuna wapiga kura.

Hint:
Binadamu ni neno linalotumika kumtofautisha kiumbe huyu na viumbe wengine wasio na akili,maarifa utashi,n.k.
 
Ndugu Paskali,

Ni vema na wewe umeingia ulingoni katika huu mjadala wa SGR..awali tumelumbana sana juu ya uwepo wa Mchina kama mfadhili na pia mkandarasi wa mradi huu dhidi ya wengine kama Uturuki..

Naona umeamua kwenda mbali zaidi na kuhoji uhitaji wa huo mradi in the first place.. Nadhani dhamira kuu ya reli ni kuiimarisha bandari ya Salama kama kitovu cha biashara kwa nchi jirani.. Labda tuangalie pia kama hizo nchi zinajiandaa kuipokea reli yetu na kuiendeleza hadi kufikia kwenye miji yao muhimu..

Na pia tupate tathmini halisi ya projected revenue ikilinganishwa na gharama za mradi huu, dynamics kwenye ajira nk dhidi ya mfumo wa sasa wa malori..Kwa uelewa wangu reli inaweza kuwa efficient maradufu pale itakapoendeswa kwa umeme..

Wachumi mtusaidie katika hili...
 
Tetesi zinasema.....

Wachina walitaka kila kitu wafanye wao...........

Wachina waligoma kushirikiana na kampuni isiyo na viwango ya ndani hivyo kigezo kikawa kukata kipande cha 400km...............

Lakini si unajua kinachoendelea chato na wajenzi Wa airport ndio washirika wakuu na Uturuki wakimaliza airport wanaamia kwenye reli...........

Makubariano waturuki wamekubali kushirikiana na kampuni hii kimya ya ndani kwa ili kupiga hizo pesa kwenye hicho kipande cha 400km...........

Yeye ndiye muomba pesa yeye ndiye mjenzi, mjenzi ndiye msimamizi Wa viwango, na ndiye mtoa tenda mwisho mtoa tenda ndiye mlipwa pesa .........

Pesa za mkopo zitakazolipwa na vizazi vijavyo poleni sana watanzania.............

Mungu ibariki Tanzania...........
Mkuu, kwahiyo kuna uwezekano wa muendelezo wa MV DAR ES SALAAM kwenye hii issue ya Mkopo wa kujengea 400 kilometres za SGR?
 

Attachments

  • MV DAR ES SALAAM.jpg
    MV DAR ES SALAAM.jpg
    3.8 KB · Views: 63
Back
Top Bottom