mashikolomageni
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 1,570
- 187
Aliyekuwa Mshauri wa Uvuvi Mkoa wa Kagera hadi 2007 Japhet M. Kayungi (1947-2011) amefariki leo katika hospitali ya Mugana Bukoba(V) alikokuwa anapatiwa matibabu. Kayungi atakumbukwa kwa mchango wake mkubwa wa kulinda mazingira ya Ziwa Victoria kwa nguvu zake zote wakati akiwa mtumishi wa serikali. Alikuwa akiuchukia uvuvi haramu kwa dhati na hakuwa na mzaha dhidi ya wote waliokuwa wakijihusisha na uvuvi huo.
Ameacha watoto wanne.
Mungu ampumzishe kwa amani shujaa huyo wa mazingira
Ameacha watoto wanne.
Mungu ampumzishe kwa amani shujaa huyo wa mazingira