- you know kama vipi, mimi Ni mshakibi wa January namba moja. Nilitegemea January kuwa tofauti na wanasiasa wengine. Nilimuona kijana msafi asiye na doa na rais wangu mtarajiwa.Nimesikitishwa na kukatizwa tamaa kusikia January naye alichota $800,000 kutoka Escrow account.
-Naomba rais wangu ajitokeze na kutoa ufafanuzi kuhusiana na hili kashfa, maana ilipotokea kashfa ya dadake kumtafutia hela za kampeni, tulitumia nguvu nyingi sana kumtetea
-Sauti ya umeme, and the king of all social media.
-Naomba rais wangu ajitokeze na kutoa ufafanuzi kuhusiana na hili kashfa, maana ilipotokea kashfa ya dadake kumtafutia hela za kampeni, tulitumia nguvu nyingi sana kumtetea
-Sauti ya umeme, and the king of all social media.