January Makamba Umetuangusha Kuhusu Ufisadi Escrow !

January Makamba Umetuangusha Kuhusu Ufisadi Escrow !

Nairobian

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
873
Reaction score
2,282
- you know kama vipi, mimi Ni mshakibi wa January namba moja. Nilitegemea January kuwa tofauti na wanasiasa wengine. Nilimuona kijana msafi asiye na doa na rais wangu mtarajiwa.Nimesikitishwa na kukatizwa tamaa kusikia January naye alichota $800,000 kutoka Escrow account.

-Naomba rais wangu ajitokeze na kutoa ufafanuzi kuhusiana na hili kashfa, maana ilipotokea kashfa ya dadake kumtafutia hela za kampeni, tulitumia nguvu nyingi sana kumtetea

-Sauti ya umeme, and the king of all social media.
 
Mmmhh kweli walaji wa Lumumba wameamua kuifilisi nchi kwa kasi ya ajabu wanajua mwisho wao umekaribia sana. UKAWA mna kazi ya kujenga uchumi wa nchi maana mtaachiwa nchi yenye akaunti inayosoma 0.00
 
mimi nilimshtukia kuazia hoja flan bungeni, yey akawa neutral, wabunge vijana wote wakakemea ile ishu, wakiongozwa na selkamba, nikamfuta hyo dogo kwenye orodha ya wasafi
 
wewe ni shabiki wa januari kwa lipi??kama ni kujenga hoja dogo ni mweupe sana kichwani nadhani amekuvutia kwa mapara yake
 
- you know kama vipi, mimi Ni mshakibi wa January namba moja. Nilitegemea January kuwa tofauti na wanasiasa wengine. Nilimuona kijana msafi asiye na doa na rais wangu mtarajiwa.Nimesikitishwa na kukatizwa tamaa kusikia January naye alichota $800,000 kutoka Escrow account.

-Naomba rais wangu ajitokeze na kutoa ufafanuzi kuhusiana na hili kashfa, maana ilipotokea kashfa ya dadake kumtafutia hela za kampeni, tulitumia nguvu nyingi sana kumtetea

-Sauti ya umeme, and the king of all social media.

Anawezeje kuwa rais wkt ni mwizi wa fedha za walalahoi?
 
Kama vipi enyi washabiki wake si mumtetee tu! Manake kumbe mna uzoefu huo kwa reference mliyoitoa ya pesa za dadaake mwenye jumba lenye thamani ya mabilioni ya shilingi, kutokana na ajira ya Customer Care Officer kule Vodacom.
 
Hili jambo lilishasemwa,linasemwa na litaendelea kusemwa....... CCM ni wezi,Hakuna msafi.....Kiufupi msemo kuwa ni ukoo wa panya ndio msemo sahihi.........ili kuachana na hii Hali hakuna budi kufanya kazi ya ziada kama vijana wa Taifa hili,tuwatoe hawa watu kwenye ofisi zetu za UMA........vinginevyo wajukuu zetu wasema Loh......kweli Babu zetu walikuwa mazoba.
 
MTU aliyefika sehemu alipo kisiasa Kwa fadhila za huyu ni mtoto Wa Fulani atakuwa msafi mtetee tu usimwache katika hili kama lile la Dada yake
 
Sasa si ungeweka yaliyokufanya umuamini kabla ya kuondoa imani yako!!!
 
- you know kama vipi, mimi Ni mshakibi wa January namba moja. Nilitegemea January kuwa tofauti na wanasiasa wengine. Nilimuona kijana msafi asiye na doa na rais wangu mtarajiwa.Nimesikitishwa na kukatizwa tamaa kusikia January naye alichota $800,000 kutoka Escrow account.

-Naomba rais wangu ajitokeze na kutoa ufafanuzi kuhusiana na hili kashfa, maana ilipotokea kashfa ya dadake kumtafutia hela za kampeni, tulitumia nguvu nyingi sana kumtetea

-Sauti ya umeme, and the king of all social media.

LEMUTUZ, sijawahi ona ukiandika cha maana hata siku moja, pole sana
 
LE MUTUZ bora umshabikie sasa Dkt SHEIN agombee urais ccm,ccm bara mmeoza kwa rushwa!waliotafuna escrow wote wametangaza nia ya urais
 
by Nairobian;
- you know kama vipi,

-Sauti ya umeme, and the king of all social media.



Kwa mpangilio na mwandiko jinsi ulivyo, Ukihusianisha na hivyo vipande viwili hapo juu Nasikia harufu ya Le mutuz a.k.a W. J. Malecela hapa!!!!
Hahahahaha Nairobian kumbe ni wewe king of mabebz?
 
Last edited by a moderator:
Anawezeje kuwa rais wkt ni mwizi wa fedha za walalahoi?

- Ha ha ha ha ha ha, you know this is too low. Anawezaje kuwa mwizi bila ushahidi? Kama vipi kajipange hauna jipya. Ile tuhuma ua sister ni conflict of interest na former minister of energy aliyemuonga mchepuko kumchafua.

Lebig Show. Sauti ya umeme
 
Watanzania msidanganyike. Watu wapo kazini kumchafua January. Wanaofanya kazi hii wanajulikana. Hawatashinda.
 
Kambi ya Lowassa inaanza kubabaika na kuhangaika na Januari Makamba. Wote tunajua kwamba kwenye vikao vyao huyu pekee ndiye wanayemtaja kwamba ni tishio na sasa wameanza kuja na hii ya kitoto ya kumhusisha na ulaji wa IPTL. Hii nayo itabuma. Tatizo la watu wa Lowasa hawafikirii kwa kina. Katika wote waliotajwa, Ngeleja alikuwa na nafasi ya kuisaidia IPTL kama Waziri wa Nishati, Pinda ana nafasi ya kuisaida IPTL kama PM, Membe naye sina hakika. Sasa Januari anawasaidia vipi IPTL hadi wampe pesa? Halafu nyie watu wa Lowasa si kila siku mnasema huyu bwana mdogo hana nafasi ya ushindi, sasa kama hana nafasi pesa anapewa za nini?

Nimesikia tetesi kutoka ndani ya familia ya Makamba kuhusu uchafuzi huu wa kambi ya Lowasa sasa nao nasikia wanakuja na vitu vizito.
 
- you know kama vipi, mimi Ni mshakibi wa January namba moja. Nilitegemea January kuwa tofauti na wanasiasa wengine. Nilimuona kijana msafi asiye na doa na rais wangu mtarajiwa.Nimesikitishwa na kukatizwa tamaa kusikia January naye alichota $800,000 kutoka Escrow account.

-Naomba rais wangu ajitokeze na kutoa ufafanuzi kuhusiana na hili kashfa, maana ilipotokea kashfa ya dadake kumtafutia hela za kampeni, tulitumia nguvu nyingi sana kumtetea

-Sauti ya umeme, and the king of all social media.
what? jamani hiyo report ya majina ya walochota nitaipata wapi?
 
Back
Top Bottom