Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,719
- 1,440
clouds wana lao na January
Safari ya J.Makamba ndio imeishia hapo kamanda,amepewa unaibu waziri ili atulize kelele zake.
"Huwezi ukabadilika kuwa samaki wakati wewe ni nyoka"
clouds wana lao na January
1. January Makamba - CCM
2. Zitto Zuberi Kabwe - CHADEMA
3. Mohamed Dewji -CCM
4. Nape Mnauye -CCM
5. Jakaya Kikwete -CCM (mwenyekiti)
6. Halima Mdee -CHADEMA
7. John Mnyika - CHADEMA
8. Ridhiwan Kikwete - CCM
9. Shyrose Bhanji -CCM
10. Joshua Nasari. - CHADEMA
CCM 6 - CDM 4
Mchuano bado mkali, na CCM inaongoza kwa goli 2 kuelekea 2015.
jamani umaarufu huu unaotafutwa sn na kijana JM tena kwa hoja ni mazalendo na clouds kumtangazia anaongoza kwenye social media anakimbilia wapi huyu? Au ndio nae ana zani atapata zali la kubebwa hadi urais??kwanza si ana certificate tuu huyu ya comflict resolution vp mbona zanzibar hajaonekana si nsio kazi zake???
Jamani ni swali tuu pengine mnaojua jitihada zake vzr anakimbilia wapi na kasi yake hiyo ya popularity....
vipi kwani? umeaccumulate ma degree, ma masters na madoctrate nini? nenda kafundishe mkuu hizo nafasi zinawenyewe.mjumbe hapo kwenye red umenacha,ina maana mh ana certficate tu!
na wapambe anao tayari, du!!Kwanza sio N/Waziri wa media yeye ni wa Mawasiliano!. Zamani ndio ilikuwa Habari na Mawasiliano, sasa Habari iko na Utamaduni na Michezo halafu Mawasiliano iko na Sayansi na Technolojia!.
Kwenye hilo la Clouds, January hajajitaja, ametajwa, ila pia kwenye kugombea urais wa CCM 2025 baada ya likizo fupi ya miaka 10!, January is the best that CCM has!.
Ndio tatizo la wakina mama walimshindilia JK mwaka 2005 mikura mingi kisa ni handsome tuangalie isije ikatokea tena kwa January makamba