Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Kwa wale waliyofuatilia siku January Makamba alipokuwa akitangaza nia alisema Tanzania hainufaiki na gas na haitanufaika na gas ndani ya miaka 20 ijayo! Katika hotuba yake aliianisha vyanzo vyote vya mapato isipokuwa gas na kusema kwa mikataba hii Tanzania haitanufaika na gas kwa miaka 10 atakayokuwa madarakani sasa ameona hana haja ya kuweka kama kipaumbele!
Huyu Makamba amewahi kuwa mwenyekiti wa nishati na madini sasa leo tunaanzisha mfuko wa gas wa nini? Kwa mapoto gani? Mbona haukushirikisha wananchi? Mbona wabunge wengi hawapo bungeni? Mimi naona kuna watu wanakimbia kufungwa sasa wanaleta hii sheria ili kupata mwavuli mpya na kuziba madhambi Yao.
Huyu Makamba amewahi kuwa mwenyekiti wa nishati na madini sasa leo tunaanzisha mfuko wa gas wa nini? Kwa mapoto gani? Mbona haukushirikisha wananchi? Mbona wabunge wengi hawapo bungeni? Mimi naona kuna watu wanakimbia kufungwa sasa wanaleta hii sheria ili kupata mwavuli mpya na kuziba madhambi Yao.