January Makamba,Ponder deep over your fate

January Makamba,Ponder deep over your fate

Hii peleka JF palace kule ndio kuna wazungu wenzako wa hii lugha.

Huku unatuchosha tu kwanza muandiko mbovu kabisa.
Haya malugha bila casto laga ni kutiana uvivu stimu zinalipiwa mwambie No one need to be toiled for nothing gadmshit!(Demnshit)
 
Bila shaka laga imeanza kukolea. Maana wanywa laga mzuka ukipanda hutiririka kizungu cha style hii
Haya malugha bila casto laga ni kutiana uvivu stimu zinalipiwa mwambie No one need to be toiled for nothing gadmshit!(Demnshit)
 
Nilikuwa nadhani una akili timamu kumbe chenga.

Hivi viongozi mbalimbali wa duniani hasa weupe wanaokuja hapo UK na kuongea lugha za kwao kwa akili yako unadhani hawajui English?

Mimi nilikuwepo hapo UK kipindi cha Tony Blair, Rais wa ufaransa alikuwa akija UK anaongea kifaransa ingawa anaijuwa vizuri English na Tony Blair akienda Paris anaongea Kingereza ingawa Tony Blair ni mzungumzaji mzuri wa French language.

Labda nikuulize swali dogo tu, hivi unajuwa kazi za majukwaa ya JF na matumizi yake? Unalifahamu jukwaa la JF Palace ni la kazi gani?

Halafu wewe ndio umekusanya kundi la wavivu wa kufikiri unajifanya Jasusi mbobezi? Msonyo wa Harmorapa.
Mkuu usibishane na huyo mkimbizi anayejifanya shushushu
 
Mkuu wewe sio mlengwa wa comment yangu. Samahani lakini
 
Kweli bavicha mnapona ;

Taratiibu mnaanza kutuelewa..

Ila hamjachelewa sana.
Nashukuru msukule wa Lumumba umeelewa nilichoandika ila bado najiuliza huwa mnatumia nini katika kufikiria???
 
Back
Top Bottom