January Makamba,Ponder deep over your fate

January Makamba,Ponder deep over your fate

Acha udikteta. Sio kila member wa JF alikwepa umande kama wewe. Google "free English lessons" badala ya kuwakwepa wanaoongea Kiingereza
Hii peleka JF palace kule ndio kuna wazungu wenzako wa hii lugha.

Huku unatuchosha tu kwanza muandiko mbovu kabisa.
 
It isn't me alone who has been shocked by news that Police called you for grill.

For grill? simply because MO is your friend and you went at his home to console him as he returned safely to his family after being kidnapped.

That,Police are suspecting you that you're either probably one of the kidnappers or you may know something behind his abduction.

A high profile man like you, a classic and as well a high government official is being suspected in the kidnapping mission.

Beforehand as MO was kidnapped and went missing,Police convened a press conference and briefed the public about the entire saga,on how kidnappers managed to get astray with MO.
They said,the kidnappers were two white men disguised in mask,after a few days they came up by another story, saying that the kidnappers spoke a strange language that's mainly found in Southern Africa.

My Brother, Swahili say,"Soma alama za nyakati".

The big man needs you not anymore.

By My Son Drink Water in Perth

Australia.
Ukiandika Kiingereza, basi onesha uwezo wa kudhibiti maarifa. Kiingereza bila maudhui ya kufikirisha hudharaulisha aliyendika.
 
44035F73-09F6-4124-AECB-97B8F08D5F2F.jpeg
 
Mkiambiwa kusoma shule mnaona mtapoteza muda
Ina maana wewe kweli umeelimika hata chembe?
Nenda Nairobi tu hapo kichaa muokota makopo anaongea English, anasoma na kuandika lakini Profesa mtaalam wa China, Ujerumani, Japana, Ufaransa hawa hawajui English.

Jitafakari upya kama una akili timamu au kama kweli ulikwenda shule kuelimika au kupitisha umri.
 
Acha udikteta. Sio kila member wa JF alikwepa umande kama wewe. Google "free English lessons" badala ya kuwakwepa wanaoongea Kiingereza
Nilikuwa nadhani una akili timamu kumbe chenga.

Hivi viongozi mbalimbali wa duniani hasa weupe wanaokuja hapo UK na kuongea lugha za kwao kwa akili yako unadhani hawajui English?

Mimi nilikuwepo hapo UK kipindi cha Tony Blair, Rais wa ufaransa alikuwa akija UK anaongea kifaransa ingawa anaijuwa vizuri English na Tony Blair akienda Paris anaongea Kingereza ingawa Tony Blair ni mzungumzaji mzuri wa French language.

Labda nikuulize swali dogo tu, hivi unajuwa kazi za majukwaa ya JF na matumizi yake? Unalifahamu jukwaa la JF Palace ni la kazi gani?

Halafu wewe ndio umekusanya kundi la wavivu wa kufikiri unajifanya Jasusi mbobezi? Msonyo wa Harmorapa.
 
Umesoma January alichoandika kwenye twitter?! Kukusadia ameandika hivi, “Polisi walinipigia simu kuniomba, kama rafiki wa @Moodewji, niwasaidie kama kuna chochote cha ziada ambacho Mo aliniambia kinachoweza kusaidia uchunguzi”. Na hii ilikuwa sio kugrill
Mkuu January ni mtu classic, anajua anachofanya,hawezi kuweka public kilichomtokea,mambo mengine muwe mnajiongeza jamani.
 
Nilikuwa nadhani una akili timamu kumbe chenga.

Hivi viongozi mbalimbali wa duniani hasa weupe wanaokuja hapo UK na kuongea lugha za kwao kwa akili yako unadhani hawajui English?

Mimi nilikuwepo hapo UK kipindi cha Tony Blair, Rais wa ufaransa alikuwa akija UK anaongea kifaransa ingawa anaijuwa vizuri English na Tony Blair akienda Paris anaongea Kingereza ingawa Tony Blair ni mzungumzaji mzuri wa French language.

Labda nikuulize swali dogo tu, hivi unajuwa kazi za majukwaa ya JF na matumizi yake? Unalifahamu jukwaa la JF Palace ni la kazi gani?

Halafu wewe ndio umekusanya kundi la wavivu wa kufikiri unajifanya Jasusi mbobezi? Msonyo wa Harmorapa.
Wewe ndo mpumbavu wa wapumbavu,English tu lugha ya kawaida tu inakufanya utoe mapovu.
And what if I'd have spoken in tongue?
Halafu huwezi kujilinganisha na Chahali hata nukta tu,wewe kwa Chahali ni chokoraa flani hivi,ndo maana ulikuwa unachapiwa mkeo na bado hukuweza kumwacha,mwanaume gani wewe?
 
Wewe ndo mpumbavu wa wapumbavu,English tu lugha ya kawaida tu inakufanya utoe mapovu.
And what if I'd have spoken in tongue?
Halafu huwezi kujilinganisha na Chahali hata nukta tu,wewe kwa Chahali ni chokoraa flani hivi,ndo maana ulikuwa unachapiwa mkeo na bado hukuweza kumwacha,mwanaume gani wewe?
Ni kweli mpumbavu wa wapumbavu ni kiongozi wa wapumbavu, kwakuwa wewe ni mpumbavu basi mimi ni kiongozi wako.
 
It isn't me alone who has been shocked by news that Police called you for grill.

For grill? simply because MO is your friend and you went at his home to console him as he returned safely to his family after being kidnapped.

That,Police are suspecting you that you're either probably one of the kidnappers or you may know something behind his abduction.

A high profile man like you, a classic and as well a high government official is being suspected in the kidnapping mission.

Beforehand as MO was kidnapped and went missing,Police convened a press conference and briefed the public about the entire saga,on how kidnappers managed to get astray with MO.
They said,the kidnappers were two white men disguised in mask,after a few days they came up by another story, saying that the kidnappers spoke a strange language that's mainly found in Southern Africa.

My Brother, Swahili say,"Soma alama za nyakati".

The big man needs you not anymore.

By My Son Drink Water in Perth

Australia.
Acha ushabiki kwani wewe ndie Makamba?wewe uko Australia usituharibie nchi yetu kwa uchochezi ,kuitwa na polisi mbona jambo la kawaida tu ni mhalifu pekee anayeogopa polisi,eti public figure sasa ulitaka mlalahoi ndie pekee ahojiwe?
 
Back
Top Bottom