January Makamba,Ponder deep over your fate

January Makamba,Ponder deep over your fate

Hii peleka JF palace kule ndio kuna wazungu wenzako wa hii lugha.

Huku unatuchosha tu kwanza muandiko mbovu kabisa.
Naamini ungeweza kulisema hili kwa usahihi zaidi. Kwa kauli isiyokera. Au una msongo mkuu?
 
Nashukuru msukule wa Lumumba umeelewa nilichoandika ila bado najiuliza huwa mnatumia nini katika kufikiria???
Misukule ya Lumumba wanachojua ni buku 7 tu.hawana uelewa wa kuhoji kwanin maccm Mara kwa Mara wanakopa fedha kwa matajiri ili kuendesha NEC wakati huo wanajigamba kuwa wana za kutosha pesa??
 
Mkuu January ni mtu classic, anajua anachofanya,hawezi kuweka public kilichomtokea,mambo mengine muwe mnajiongeza jamani.
Mkuu,
January hapo ni amekanusha kinachoenezwa kwenye social media. Kama ingekuwa ni kweli angekaa kimya badala ya kukanusha.

Wewe unapingana na January sijui tukueleweje!!
 
Na lugha yenyewe hata kuiandika vizuri hajuwi! Mswahili mwenzetu huyu lakini anajifanya kuandika kimombo ktk kundi la wanaoongea kiswahili! Pumhavu kabisa. Umemjibu vizuri ndugu.
It's a sign of being a sorcerer particularly when you become envious on simply simple issues?
Language?
Why can't you just write it too in order to lull your brain?
 
No one is safe in this country..m

When Lissu was gunned down by the would be his .assassinators,some CCM henchmen celebrated as if it was just a CHADEMA case!
But as time ticks away neither CHADEMA nor CCM member is surelyy safe any more! Reading the so called CCM numbers is equally on our shoulders!
 
Ungea lugha yetu ya taifa. Sijakuelewa kabisaa. Kiswahili chetu kinajitosheleza haswa.
It's a sign of being a sorcerer particularly when you become envious on simply simple issues?
Language?
Why can't you just write it too in order to lull your brain?
 
Nchi ya kusadikika na vitu vya kusadikika fuatilia nyuzi zake utayaelewa
Kwa hiyo unataka kusema jamaa ni chizi?kwa Sababu mwenye akili timamu hawezi kukimbia mambo ya kusadikika,kisha Taifa kubwa kama UK wakampatia hifadhi ya kusadikika.
 
It isn't me alone who has been shocked by news that Police called you for grill.

For grill? simply because MO is your friend and you went at his home to console him as he returned safely to his family after being kidnapped.

That,Police are suspecting you that you're either probably one of the kidnappers or you may know something behind his abduction.

A high profile man like you, a classic and as well a high government official is being suspected in the kidnapping mission.

Beforehand as MO was kidnapped and went missing,Police convened a press conference and briefed the public about the entire saga,on how kidnappers managed to get astray with MO.
They said,the kidnappers were two white men disguised in mask,after a few days they came up by another story, saying that the kidnappers spoke a strange language that's mainly found in Southern Africa.

My Brother, Swahili say,"Soma alama za nyakati".

The big man needs you not anymore.

By My Son Drink Water in Perth

Australia.
Hata kama uko Australia matumizi ya lugha adhimu ya kiswahili ambayo nahisi unaifahamu yangesaidia wengi kuelewa ulichoandika!
 
Hata kama uko Australia matumizi ya lugha adhimu ya kiswahili ambayo nahisi unaifahamu yangesaidia wengi kuelewa ulichoandika!
Ni kweli mkuu lengo langu hasa lilikuwa kukwepa hii topic isichanganywe na zingine,Mods huwa wana tabia ya kuunganisha Uzi
 
When Lissu was gunned down by the would be his .assassinators,some CCM henchmen celebrated as if it was just a CHADEMA case!
But as time ticks away neither CHADEMA nor CCM member is surelyy safe any more! Reading the so called CCM numbers is equally on our shoulders!
Yep! And in 2020 general election, CCM will be smashed into pieces as the mules from CHADEMA (The so called easy going MPs and Chancellors ) who were coaxed by a loaf of bread as they'll be waging a war against Pro-CCM whose opportunities are being taken by those mules.
 
basi Makamba halali,leo ni ana scroll up and down kwenye hii topic 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom