Nape anadai kuwa anaichukia Rushwa, ni sawa lakini huwezi kuutenganisha uchaguzi wowote uwe wa ndani au nje ya CCM na vitendo vya Rushwa. Naona Nape anapaza sauti but what matters is not the voice but the point!!!!!
Akianza kuongea Nape napunguza sauti ya TV hadi moja but sauti iko juu balaa!!!
Swali langu kuhusu sera nzuri kwa maendeleo ya taifa...(Serikali ya majimbo) kwa nini tusifanyie utafiti?pia nafasi za wakuu wa wilaya na wakuu mikoa!kwa nini ccm wasichukue sera nzuri hata kama si zao kwa maendeleo ya taifa??
Sijaona krimu ya majibu niliyotaraji kuyasikia kutoka kwa Nape na Januari,
Mr Jenerali anawauliza maswali ya musingi na mazito lakini aina ya ujibuji ni upuuzi mtupu!
The look on Jenerali's face tells a lot! kashamaliza kipindi zamaaani kwa sababu wanakwepa sana maswali,hawatoi majibu ya msingi. Kawaachia tu wabwabwaje mpaka kipindi kiishe.
Nape, Nape, Nape........ Unazungumzia mabadiliko ya kimazingira ukihusiha na chama alichokiacha Baba wa taifa! Cjaelewa kitu hapa cjui ana maanisha nini!
The look on Jenerali's face tells a lot! kashamaliza kipindi zamaaani kwa sababu wanakwepa sana maswali,hawatoi majibu ya msingi. Kawaachia tu wabwabwaje mpaka kipindi kiishe.
Naona Nape anatoka povu tu,nadhani amekuja kwenye huo mjadala bila kujiandaa na hajui anachokiongea,hajajibu swali hata moja.huyu kijana nimemuondolea hata heshima kidogo niliyoukwa nayo kwake. Anadai ccm hii haiwezi kuwa sawa na ya mwalimu.!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.