I agree all the way!Sasa wanashambulia marehemu baba yake Nape, wanahangaika sana na kukosolewa, ndio characterisic weakness moja kubwa ya C.C.M.
January Makamba ukimsikia anaongea utadhani mtu mmoja ana busaaaara, kumbe ni mswahili wa Lushoto, vijembe, vimipasho na na vi ad hominem attack mwanzo mwisho.
karibu chamani mkuu
nitumie picha mbil za paspot
majina yako matatu
na mahal unapoishi
nikuandalie kadi yako ya uanachama
Afu unamletea kadi ya umoja wa wazazi badala ya uvccm
Tungo hii ina mengi!
Sasa si inawezekana alinunua nyama kilo 10 buchani kwa ajili ya wageni rasmi na wale ng'ombe na mbuzi akawaswaga kuwapeleka kijijini kwake. Ufisadi ulianza zamani nchi hii!
Inawezekana hata Nnauye Sr aliwekewa Nyama nyingi sababu ni mgeni rasmi ila waliobaki walipata finyango moja moja au wasipate kabisa,Sasa si inawezekana alinunua nyama kilo 10 buchani kwa ajili ya wageni rasmi na wale ng'ombe na mbuzi akawaswaga kuwapeleka kijijini kwake. Ufisadi ulianza zamani nchi hii!
Jamani muwe mnasoma kwanza huku mmetulia hapo kamuabishaje Mzee Nnauye? soma taratibu anamaanisha ushahidi wa Mzee huyo marehemu ndio ulimfanya baba yake arudishwe kazini. Maana nyingine ni kuwa mzee huyo hakuogopa lile genge lilitaka kumfutilia mbali Mzee Makamba anachojaribu kutuambia January ni kuwa Nape ni jasiri, msema kweli na haogopi kuudhi makundi mengine ya kinafiki na hii tabia karithi kwa baba yake.Sina ushabiki na mwanakijani yyt.Sasa wanashambulia marehemu baba yake Nape, wanahangaika sana na kukosolewa, ndio characterisic weakness moja kubwa ya C.C.M.
January Makamba ukimsikia anaongea utadhani mtu mmoja ana busaaaara, kumbe ni mswahili wa Lushoto, vijembe, vimipasho na vi ad hominem attack mwanzo mwisho.
Umemaliza mkuu.Jamani muwe mnasoma kwanza huku mmetulia hapo kamuabishaje Mzee Nnauye? soma taratibu anamaanisha ushahidi wa Mzee huyo marehemu ndio ulimfanya baba yake arudishwe kazini. Maana nyingine ni kuwa mzee huyo hakuogopa lile genge lilitaka kumfutilia mbali Mzee Makamba anachojaribu kutuambia January ni kuwa Nape ni jasiri, msema kweli na haogopi kuudhi makundi mengine ya kinafiki na hii tabia karithi kwa baba yake.Sina ushabiki na mwanakijani yyt.
Pitia ujumbe wa Makamba anaosema kaupata alivyoenda kijijini kumuona mzee Makamba