Ndugu Mkiki hata kama unamchukia mtu hii siyo lugha ya kumuongelea binadamu mwenzako. Think about it deeply.Ni bora angekufa tu, sina la kujivunia kutoka kwake.
Ndugu Mkiki hata kama unamchukia mtu hii siyo lugha ya kumuongelea binadamu mwenzako. Think about it deeply.Ni bora angekufa tu, sina la kujivunia kutoka kwake.
Rudia kuisoma simulizi utamuelewa ndugu!Ile hotuba kali ya Nape bungeni dhidi ya gesi huko kusini inawafanya kuweweseka,hapo anatafuta cheo kwa kuonyesha Nape ni mfitini kwa serikali na watu kama baba yake mzee Nnauye.
Sad!
Huyu mzee mwenye nundu usoni ni mchawi na mnafiki,huyo ndio alimfukuza nape ccm akadai amemfungia ahera na mbinguni,kma angekua anakumbuka msaada wa mzee nnauye asingefanya jambo hilo kwa mwanae..hicho kizee kichawi tu kinaroho mbaya kma ccm wenzake.alihusika kumfukuza mzungu wa binti yke ili wabaki na mali zkeJamani muwe mnasoma kwanza huku mmetulia hapo kamuabishaje Mzee Nnauye? soma taratibu anamaanisha ushahidi wa Mzee huyo marehemu ndio ulimfanya baba yake arudishwe kazini. Maana nyingine ni kuwa mzee huyo hakuogopa lile genge lilitaka kumfutilia mbali Mzee Makamba anachojaribu kutuambia January ni kuwa Nape ni jasiri, msema kweli na haogopi kuudhi makundi mengine ya kinafiki na hii tabia karithi kwa baba yake.Sina ushabiki na mwanakijani yyt.
Ufisadi umeingiaje hapa?Sasa si inawezekana alinunua nyama kilo 10 buchani kwa ajili ya wageni rasmi na wale ng'ombe na mbuzi akawaswaga kuwapeleka kijijini kwake. Ufisadi ulianza zamani nchi hii!
Inawezekana sikatai CCM kama ilivyo vyama na taasisi nyingine fitina haikosekani na wakati mwingine maamuzi ya kumkata mtu hayafanywi na mtu mmoja Mzee inawezekana hakuwa mzuri lakini hapa tunajadili yaliyomo kwenye ujumbe wa Jan. yawe ya ukweli au uongo.Huyu mzee mwenye nundu usoni ni mchawi na mnafiki,huyo ndio alimfukuza nape ccm akadai amemfungia ahera na mbinguni,kma angekua anakumbuka msaada wa mzee nnauye asingefanya jambo hilo kwa mwanae..hicho kizee kichawi tu kinaroho mbaya kma ccm wenzake.alihusika kumfukuza mzungu wa binti yke ili wabaki na mali zke
Who fights for food?An actual food fight!
Having food is not a reason to not fight for food.Who fights for food?
Makamba already has some food
anavuna alichopandaHuyu si ndo alitetea ccm iliyoko madarakani??wakt rasimali zinatumika vibaya si alikuwa anapiga vigelegele?muda wote huo hajajiwekeza vizuri?au uroho tyu alipwe mpaka uzeeni ??je sisi nan anatulipa ??mbn mnajiona ninyi ndo watu pambana na hali yako sinaga huruma na ma ccm