January Makamba: amegawa simu, anakula matapishi yake

January Makamba: amegawa simu, anakula matapishi yake

This is a country of shame...

Vijana wa CCM wanaandaliwa kuwa viongozi, lakini kijana anapokuwa hana uwezo wa kununua simu ya kisasa hadi kwa fadhila ya Mwanasiasa mwenzie ni aibu kubwa. Hawa vijana hawatakuwa na uwezo wa kupinga wakati JM atakapowaambia walipie gharama ya kuhongwa hizo simu (NO free lunch in this world)

Pia kama vijana wa chama tawala kwa ngazi mbalimbali tunategemea vitu kama simu, computer na tablet wawe wana uwezo wa kununua vya kwao ili kulinda ile dhana ya kujitegemea, kama wako cheap kiasi kwamba wanahongwa hadi simu, siku wakiingia madarakani watahongwa magari na kuwasaliti wananchi na kuuza ardhi au watainiga mikataba feki kuidhulumu nchi kama wanavyofanya wazee wao. Kijana aliyeandaliwa katika mfumo ambao hauoni kuwa kujitegemea ndio msingi wa maisha ya kisasa, hawawezi kuwa viongozi wa kizazi kijacho. Kama hadi kununua simu unahitaji takrima ya mwanasiasa mwenzio anayetafuta urais basi hao vijana watafaidika sana. Wasubirie simu ya Nchimbi, simu ya Membe (JOKA LA MDIMU), simu ya Lowassa na wengineo. Ikumbukwe kuwa hata Mwenyekiti wao wa Taifa wa chama aliwahi kuhongwa suti na tajiri wa kiarabu.

All in all watanzania tuukatae huu Ukoo wa Panya (CCM) kwa kuwa hauna mfumo wa kujenga viongozi bora. Tuwanyime kura 2015 na tuanze na chama kingine kwa manufaa ya vizazi vijavyo.
 
Makamba anataka kuwafunga kamba vijana. Kama ni kiongozi mwema si asubiri atachaguliwa iweje aanze kugawa simu na pesa. viongozi kama hawa ni wa kuogopwa sana
 
We vipi! Hivi umepitia thread za chuki ukajua huyu ni propagandalist wa chama gani au umekurupuka tu eti kisa katoa uzi unaomhusu mwanaccm, chuki ni mwanamagamba mwenzio
chuki Jina lako tu linasadifu haya uliyoyaandika humu,acha chuki binafsi ndugu yangu kuna tatizo gani mtu akitimiza ahadi aliyoahidi?
Anyway chuki binafsi haifai,mi nilitegemea ungekuja na hoja yakuwakumbusha viongozi wa chama chako wakatimize ahadi walizomwahidi mjane wa mwangosi.
 
Last edited by a moderator:
Kwa ufupi tu, January hana sifa za kuwa Rais wa nchi hii, kwa lipi?
 
chuki - Ungonyesha alipoiba hizo simu ungekwua na hoja nzito, otheerwise ni majungu kama kawaida yenu umri wa Januari hauruhusu kugombea urais, yaani huna facts wala dataz poleni sana!!!

Le Mutuz
Na wewe si walewale?
Watanzania sasa tumebadilika na hatudanganyiki.Nyie mliokuwa watoto wa viongozi badala ya kuisaidia nchi hii kwa kurekebisha makosa ya Baba zenu mna vaa viatu vilevile.
2015 ndio mtawatambua wa-Tanzania
 
W.J Malecela, watu hawahoji juu ya simu, hela za kukunulia simu hizo kapata wapi? maana kutoa 105 Million, lazima uwe na ziada, maana hiyo tun-assume ni 10% ya ulichonacho! sasa huoni sisi wengine masikini, tusiojua hata kesho tutakula nini ndio tunashaaanga?

- Kabla hujauliza ukiwa msomi kama mleta mada unatakiwa uwe umefanya utafiiti, ama sivyo yanakuwa majungu kumbuka Januari hajawahi kuchukua Shangingi la Bunge kwa hiyo ina maana zile Millioni 100 alizichukua na huenda ndio amezilipa hizi simu.

Le Mutuz
 
le mutuz unajidhalilisha mtu wangu!! Kuwa muwaz tu unafiki hautakusaidia, MAKAMBA AMETOA WAP MIL 105!

- Kwani nyumba ya MWenyekiti wako wa Chadema kule Mikocheni imegharimu Shilllingi ngapi? na amezitoa wapi? Zile nyumba mbili Katibu mkuu wako wa Chadema anazojenga Mbezi ni za Shillingi ngapi? na ametoa wapi hizo pesa? Mbona mnapenda sana siasa za makengeza kuona kwa CCM tu na sio huko kwenu?

Le Mutuz
 
Laiti kama Le Mutuz ungekuwa umeishi maisha ya yule mtoto wa kule Mtera kijijini haya maneno unayoyasema usingeyarudia hata kidogo. infact you stand for truth which is you belong to the life of Makambas and family and not poor and poorest Tanzania. Wala sikushituka ulipojitosha kutetea watu unaolingana nao kiitikadi na maisha. You cant be friend with poor nor defend them. Kwani hujaishi maisha kama hayo (umaskini). Umazaliwa ndani ya faraja na utakufia humo!! Kama Makamba kafanya hayo aliyoyafanya nje na msimamo wake na kile anachokiamini basi amepotoka..na huyo Dada wa Makamba i know her from long time..she is what she is!!

- Wewe hebu ongelea mada hapa wachana na mimi cause hunijui wala sikujui, kama huna hoja on mada tuliza boli!!, usije hapa kufundisha hapa namna ya kuwa na mawazo mgando kama yako!!


Le Mutuz
 
nilichojifunza ' tabia ni kama ngozi ya mwili huwezi kuivua' - mpoto
 
Unamsaliti mwana wa adam kwa kumbusu.dhambi hii ndiyo iliyomfanya yuda ajinyonge.listen you coward politician 2015 mtatujua tumechukia.......makamba madudu matupu na nyie mnaohongwa visimu du polen sana ipo siku yenu amin nawaambieni
 
- Kabla hujauliza ukiwa msomi kama mleta mada unatakiwa uwe umefanya utafiiti, ama sivyo yanakuwa majungu kumbuka Januari hajawahi kuchukua Shangingi la Bunge kwa hiyo ina maana zile Millioni 100 alizichukua na huenda ndio amezilipa hizi simu.

Le Mutuz
zile alidai amefungulia ofisi waterfront pale bumbuli corporation kitu kama hicho.
 
- Kwani nyumba ya MWenyekiti wako wa Chadema kule Mikocheni imegharimu Shilllingi ngapi? na amezitoa wapi? Zile nyumba mbili Katibu mkuu wako wa Chadema anazojenga Mbezi ni za Shillingi ngapi? na ametoa wapi hizo pesa? Mbona mnapenda sana siasa za makengeza kuona kwa CCM tu na sio huko kwenu?

Le Mutuz
wote wawili sio viongozi wa serikali (umma), fedha zao haziwezi kuwa under-scrutiny kama za makamba anayegawa simu zenye bundles za bure wakati yeye ni waziri wa mawasiliano.
 
Back
Top Bottom