Karne JF-Expert Member Jun 13, 2016 7,490 12,177 Mar 19, 2023 #21 Makamba hapo alipo ni oversize,atazimudu wizara wanazoshikilia wamama kwa sasa isipokuwa afya na TAMISEMI. Kule kwa Dr Gwajima,Mhangama na Ndalichako au aunganishwe na Mkuchika awe naibu wake.
Makamba hapo alipo ni oversize,atazimudu wizara wanazoshikilia wamama kwa sasa isipokuwa afya na TAMISEMI. Kule kwa Dr Gwajima,Mhangama na Ndalichako au aunganishwe na Mkuchika awe naibu wake.