Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,643
- 218,099
kwani naibu waziri ana majukumu gani ? Kazi kubwa ya naibu waziri wa serikali ya Tanzania ni KUSOMA MAJIBU YALIYOANDALIWA kwenye vikao vya bunge , kwani umesahau yule aliyeporwa smg na kahaba Morogoro ?