Januari Makamba kuteuliwa Mjumbe wa NEC

Mtumishiwetu

Senior Member
Jul 13, 2022
187
334
Dar es Salaam
Wanaogombea nafasi ya NEC ni aliyewahi kuwa mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake (UWT), Sophia Simba, January Makamba ambaye ni mbunge wa Bumbuli na Waziri wa Nishati.

Pia, yumo Iddi Azzan ambaye ni mbunge wa zamani wa Kinondoni, mbunge wa sasa wa Kinondoni, Tarimba Abbas na Josephat Gwajima ambaye ni mbunge wa Kawe.

CHANZO GAZETI LA MWANANCHI
 
Ona fursa
Dandia fursa
Sepa na fursa
Acha wana siasa waendelee na siasa zao
 
Back
Top Bottom