Januari 3, 2023 kutakuwa na kupatwa kwa sayari ya Mars

Wakazi wa Mbeya naombeni mrudi ndani msije kupigwa nondo za kichwa mkawapa faida wauza nyama
 
Mtoa mada aje na muongozo hapa,mimi kuna mtu nimempanga yupo nje keshaanza kunisumbua na majibu ya kumpa sina
 
16727803049736854808815084600020.jpg
 
Nimeangalia toka saa 6 kamili mpaka na dakika 5 mbona hakuna kilichoendelea. Tena nilikuwa nachukua na video kabisa incase nimemiss kuona. Hakuna kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu sijui hata picha hamuoni, mars ilikuwa inaonekana mida ya saa 4, kuanzia saa tano mpaka saa sita inakuwa imefunikwa, bila shaka itajitokeza muda si mrefu! Maana hata kuonekana iliwahi kuonekana, walisema itaonekana saa 4 na dakika 15, ila niliangalia saa 4 na dakika 1 ilikuwa tayari imejitokeza, kwahiyo sishangai ikichelewa kidogo.
 
Watu sijui hata picha hamuoni, mars ilikuwa inaonekana mida ya saa 4, kuanzia saa tano mpaka saa sita inakuwa imefunikwa, bila shaka itajitokeza muda si mrefu! Maana hata kuonekana iliwahi kuonekana, walisema itaonekana saa 4 na dakika 15, ila niliangalia saa 4 na dakika 1 ilikuwa tayari imejitokeza, kwahiyo sishangai ikichelewa kidogo.
Tusaidie basi hata kapicha mkuu, maana wengine kukaa nje sana tutakabwa bure tandale huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu sijui hata picha hamuoni, mars ilikuwa inaonekana mida ya saa 4, kuanzia saa tano mpaka saa sita inakuwa imefunikwa, bila shaka itajitokeza muda si mrefu! Maana hata kuonekana iliwahi kuonekana, walisema itaonekana saa 4 na dakika 15, ila niliangalia saa 4 na dakika 1 ilikuwa tayari imejitokeza, kwahiyo sishangai ikichelewa kidogo.
Bc ikiianza kuonekana utuambie mana Mm naogopa kukaa nje kuna popobawa
 
Ni kweli mars Huwa na kawaida ya kuonekana na Sasa siioni, hivyo itakuwa kweli imekuwa blocked na mwezi
 
Ile mida ya saa 4 na dakika 1 ilikuwa imechatokea, illiwahi kabla ya muda waliotaja, mpaka muda huu haijatoka upande wa pili, mimi sishangai hilo, najua itajitokeza tu, maana saa sita haijaisha.
 
Yaani jua likizama tu napenda kuangalia sayari ambazo zinaoneka kwa macho, mercury, Venus, mars, Jupiter na Saturn.
Watu wengi huona kama nyota tu lakini hizo ni sayari ambazo hupendeza sana
 
Tusaidie basi hata kapicha mkuu, maana wengine kukaa nje sana tutakabwa bure tandale huku.

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu, mpaka hapa haijatokea upande wa pili, ila walisema ni saa sita usiku japokuwa hawakutaja dakika ngapi. Mimi najua itatokea muda si mrefu, mwanzo ile saa 4 iliwahi kuonekana, kwahiyo hapa ikichelewe sina mashaka.
 
Yaani jua likizama tu napenda kuangalia sayari ambazo zinaoneka kwa macho, mercury, Venus, mars, Jupiter na Saturn.
Watu wengi huona kama nyota tu lakini hizo ni sayari ambazo hupendeza sana
Nipe tofauti kwa Muda huo zinavoonekana ili nijue hizi ni sayari na sio nyota
 
Ni kweli mars Huwa na kawaida ya kuonekana na Sasa siioni, hivyo itakuwa kweli imekuwa blocked na mwezi
ndiyo mkuu, mida fulani kabla ya saa 5 mars ilikuwa ubavuni mwa mwezi, imefunikwa na mwezi na itachukua masaa mawili au moja na nusu.
Kwahiyo hapa tunasubiri itokee upande wa pili.
 
Back
Top Bottom