wakuu nipo chuo kikuu Ardhi nauza sura,kila pande nimezungukwa na mabango ya mkutano wa kesho wanafunzi wa hapa wanaonekana wana mwamko sana na cdm kwan kila ninaemuuliza anasema kesho lazima aende jangwan,mbaya zaid kuna doctor mmoja nimeambiwa baada ya kumaliza lecture kawaambia'WALE WAPENDA MAENDELEO KESHO 2KUTANE JANGWANI',kwel nimekubal m4c mpaka kwa wahadhiri. May ALMIGHT GOD STAND 4 US,THIS COUNTY IS OURS,LETS IMPLEMENT M4C EVERYWHERE 2TAFANKIWA.