Wasomi wa Tanzania wanachekesha sana badala kujikita kwenye masomo yao wanajikita kuandika mabango ya CDM.
Watakaokuja huko ni WAKUJA TU ! sidhani kama mwana darisalama kindakindaki atakuja huko ! kwa hiyo kila utakaemuona hapo ujue si mwanadarisalama ni wale wakuja na magari ! wenyewe wapwani tumetulia tulii tunasubiri 2015 tuipigie CCM yetu, chama KISICHOBAGUA DINI WALA KABILA !
Wasomi wa Tanzania wanachekesha sana badala kujikita kwenye masomo yao wanajikita kuandika mabango ya CDM.[/QUOTE]
ukishakuwa msomi ni lazima ujue kubalansi mambo,muda gani usome muda gani ushiriki extra curricula activities kama hulijui hili inawezekana ulienda shule ila hukuelimika;pia msomi anatakiwa awe party and parcel ya jamii,ndio maana nchi za wenzetu vyuo ndio think tanks za nchi zao ila kwetu wasomi wanaambiwa wao ni opposition party!hivyo hawana mchango kitu ambacho ni intellectual myopia kwa baadhi ya wanasiasa wetu.