Walker Roar
Member
- Aug 17, 2019
- 12
- 4
Habarini za sahiv wakuu. Je, ni sababu zipi zinapelekea vijana wanajikuta wanaingia kweny Janga la kujichua? Kuna maswali yakujiuliza hapa:
1. Ni kwamba bahadhi yao hawawezi kujieleza au kutongoza?
2. Ni jambo ambalo ukilianza huwezi kuliacha?
3. Wasichana wanakaza kamba wakifatwa?
4. Hali ni ngumu kiasi kwamba wanaume wanashindwa kuwaudumia mabinti?
Ama ni nini? Wakuu karibuni kuchangia
1. Ni kwamba bahadhi yao hawawezi kujieleza au kutongoza?
2. Ni jambo ambalo ukilianza huwezi kuliacha?
3. Wasichana wanakaza kamba wakifatwa?
4. Hali ni ngumu kiasi kwamba wanaume wanashindwa kuwaudumia mabinti?
Ama ni nini? Wakuu karibuni kuchangia