Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,429
- 27,134
Kweli maombi yanahitajika..
Inabid ivo , mana bila ivo tutaishiwa kuambiwa tunawagusa gusaJamani mnataka kufia vifuani? Heeeee mtuhurumie
Mkuu hili janga ni la kitaifa.Bila vichocheo hamuwezi kazi??
Sijui tutajiokoaje? Unahitajika ufumbuzi wa kifaa cha kupima kiwango kama vile wanavyopimwa madereva na askari. Mtu utoke nduki mapemaa...Jamani mnataka kufia vifuani? Heeeee mtuhurumie
Hapa ndio unaanza kujiona ulifanya wrong choice... [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Hii yote inasababishwa na hawa viumbe.
View attachment 627875
View attachment 627876
View attachment 627877 View attachment 627878
At least basi aongezeke uzito tu...Watu wanashida sana, unakusanya madude yote hayo utafikiri mganga Wa jadi?
Lakn mtambue kwamba Ng'ombe hanenepi siku ya mnada..
Kuleni vyakula vya asili na kufanya mazoezi tu baasi
[emoji23] [emoji23] [emoji23]At least basi aongezeke uzito tu...