Janga la kitaifa.

Janga la kitaifa.

Philipo D. Ruzige

JF-Expert Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
9,429
Reaction score
27,134
efa5a9fed7bcc76cca3e32bb529bbabb.jpg



Kweli maombi yanahitajika..
 
Mwanzo wa Ngoma ni Le! Le! Le!
 
Kuna mtu aliwahi kusema kuwa "Mwanamke huwezi kamwe kumridhisha" na alituasa kuwa ukifika mshindo wewe basi kama yeye hajafika basi.

Ukiona mtu anakulalamikia kuwa humridhishi basi jua kuwa hata mapenzi yake kwako ni kidogo sana.
 
Watu wanashida sana, unakusanya madude yote hayo utafikiri mganga Wa jadi?

Lakn mtambue kwamba Ng'ombe hanenepi siku ya mnada..
Kuleni vyakula vya asili na kufanya mazoezi tu baasi
At least basi aongezeke uzito tu...
 
Back
Top Bottom