Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 39,428
- 25,450
Acha bangi.Mama ana ujasiri kuliko hata dume jike Lucas Mwashambwa
Acha bangi.Mama ana ujasiri kuliko hata dume jike Lucas Mwashambwa
Yeye anapenda urojo tu si vingineTayari Abdul anakunywa alikasusi na anapaka mkongo
Si ni kweli,yeye anaongea ukweli na wewe kima unamsifia mjinga huoni huyu mama ni bora 7 x 70 kuliko wewe tumbili wa kijaniAcha bangi.
kwani uongo?Watu waliojitambulisha kuwa ni Askari Polisi, wamevamia ofisi za ACT Wazalendo, zilizopo maeneo ya Magomeni jijini Dar, kumsaka Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Janeth Rithe wakidai anahitajika kwa mahojiano maalumu kuhusu hotuba aliyoitoa kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Manzese jumatano June 28, 2025. Watu hao wamesema Janeth anatuhumiwa kwa kudai kuwa Rais amechanganyikiwa.!
Huyo mbwa ana nyege wakamtolee polisi. Ameona atafute kiki baada ya kukosa cha kuongea. Wakiishiwaga wanakimbilia kumtukana Rais, ashughulikiwe huyo malaya.Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa kupitia chama cha ACT Wazalendo, Janeth Rithe, ametaka Wanawake nchini kutomchagua tena Rais Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi ujao, akidai kuwa kiongozi huyo mkimuangalia "amechanganyikiwa".
Pia, Soma: Polisi wafika Ofisi za ACT Wazalendo kumkamata Janeth Rithe kwa agizo la ZCO
Kauli hiyo ameitoa akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ubungo, tarehe 18 Juni 2025
"Ndugu zangu Wana Ubungo na Watanzania kwa ujumla, Nchi yetu imejaa na Majonzi na Masikitiko mengi na hata ukituona tunavyotembea wote tumejawa na majonzi na masikitiko"
"Haki yetu ya msingi inaporwa kila baada ya Uchaguzi toka mwaka 2020, lakini wanao-sababisha mambo haya yatokee ama uporwaji huu wa Uchaguzi ni CCM na dola la CCM"
"Sasa tunakwenda kwenye Uchaguzi mwezi wa 10, naomba Wanawake wa Tanzania, kila Mwanamke popote alipo ajue kwamba anajukumu la kupiga Kura lakini pia anajukumu la kulinda."
"Wanawake tumetongozwa na CCM na sisi tumekubali, sasa hivi [...amesema Mwenyekiti wa Mkoa] watu wamegeuka kuwa Machawa nawaona Wanawake wakiwa wamevaa mavazi ya gharama na wanapita wakikwambia Samia tena Mitano 5"
"Nikiangalia ninashangaa Wanawake wa Tanzania, madhira makubwa tunayo yapata ni kutokana na Uongozi mbovu wa Chama cha Mapinduzi, madhira makubwa tunayo yapata ni kutokana na Uongozi huo huo wa Samia"
"Kwanza mimi na swali ambalo najiuliza, hivi hatuoni kama Samia anaenda kuongoza Miaka 15?. Amekuwa Makamu wa Rais kwa miaka 5, amekuwa Rais kwa Miaka 5 tena na sasa tunaenda kumpa 5 mingine. Hatuoni kwamba ameongoza kwa miaka 15 na amevunja Katiba.
"Na mkimuangalia amechanganyikiwa jamani, sasa mnaendaje kumchagua mtu aliyechanganyikiwa. Juzi katuambia eti Tanzania Uchumi umekuwa kuliko Marekani, hata kipofu na Kiziwi hili jambo akisikiliza anachanganyikiwa kabisa, ni namna ya Kiongozi aliyechanganyikiwa, ni namna ya Kiongozi ambaye haoni dira mbele yake, sijui kitu gani kinamchanganya, ndio maana CCM wamebakia kulindwa na Dola ama Polisi"
Lazima ashughuliwe huyo danga, mbwa km huyo hawezi kumtukana Rais wetu baada ya kukosa cha kuongea hiyo nyege itamtokaUtasikia kapewa kesi ama kavamiwa na wahuni wa watawala na kumbaka na vipigo juu!!
Zitto ataambiwa muondoe huyo, anamshambulia mfadhili wa Chama!!
We bwege kilichoharibika ni akili yako. Samia ni mpango wa Mungu amefanya wonders ndani ya muda mfupi. Hilo danga limekosa dume ngoja lishughulikiweNi kweli kabisa huyu bibi kachanganyikiwa.Maana Nchi kaivuruga Kwa kuiharibu na itatichukua miaka miamoja kuirudisha ilivyokuwa miaka minne nyuma.
Tayari hukoo kimeumanaUtasikia kapewa kesi ama kavamiwa na wahuni wa watawala na kumbaka na vipigo juu!!
Zitto ataambiwa muondoe huyo, anamshambulia mfadhili wa Chama!!
Hahahah..! Mkuu umeua kbs!Tayari Abdul anakunywa alikasusi na anapaka mkongo
😆😆😆😆 Huogopi Ofisa Doria mitandaoni?Naunga mkono hoja
apewe kesi mara 9Utasikia kapewa kesi ama kavamiwa na wahuni wa watawala na kumbaka na vipigo juu!!
Zitto ataambiwa muondoe huyo, anamshambulia mfadhili wa Chama!!
Nakazia!Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake Taifa kupitia chama cha ACT Wazalendo, Janeth Rithe, ametaka Wanawake nchini kutomchagua tena Rais Samia Suluhu Hassan katika uchaguzi ujao, akidai kuwa kiongozi huyo mkimuangalia "amechanganyikiwa".
Pia, Soma: Polisi wafika Ofisi za ACT Wazalendo kumkamata Janeth Rithe kwa agizo la ZCO
Kauli hiyo ameitoa akihutubia kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika Ubungo, tarehe 18 Juni 2025
"Ndugu zangu Wana Ubungo na Watanzania kwa ujumla, Nchi yetu imejaa na Majonzi na Masikitiko mengi na hata ukituona tunavyotembea wote tumejawa na majonzi na masikitiko"
"Haki yetu ya msingi inaporwa kila baada ya Uchaguzi toka mwaka 2020, lakini wanao-sababisha mambo haya yatokee ama uporwaji huu wa Uchaguzi ni CCM na dola la CCM"
"Sasa tunakwenda kwenye Uchaguzi mwezi wa 10, naomba Wanawake wa Tanzania, kila Mwanamke popote alipo ajue kwamba anajukumu la kupiga Kura lakini pia anajukumu la kulinda."
"Wanawake tumetongozwa na CCM na sisi tumekubali, sasa hivi [...amesema Mwenyekiti wa Mkoa] watu wamegeuka kuwa Machawa nawaona Wanawake wakiwa wamevaa mavazi ya gharama na wanapita wakikwambia Samia tena Mitano 5"
"Nikiangalia ninashangaa Wanawake wa Tanzania, madhira makubwa tunayo yapata ni kutokana na Uongozi mbovu wa Chama cha Mapinduzi, madhira makubwa tunayo yapata ni kutokana na Uongozi huo huo wa Samia"
"Kwanza mimi na swali ambalo najiuliza, hivi hatuoni kama Samia anaenda kuongoza Miaka 15?. Amekuwa Makamu wa Rais kwa miaka 5, amekuwa Rais kwa Miaka 5 tena na sasa tunaenda kumpa 5 mingine. Hatuoni kwamba ameongoza kwa miaka 15 na amevunja Katiba.
"Na mkimuangalia amechanganyikiwa jamani, sasa mnaendaje kumchagua mtu aliyechanganyikiwa. Juzi katuambia eti Tanzania Uchumi umekuwa kuliko Marekani, hata kipofu na Kiziwi hili jambo akisikiliza anachanganyikiwa kabisa, ni namna ya Kiongozi aliyechanganyikiwa, ni namna ya Kiongozi ambaye haoni dira mbele yake, sijui kitu gani kinamchanganya, ndio maana CCM wamebakia kulindwa na Dola ama Polisi"
Utasikia kapewa kesi ama kavamiwa na wahuni wa watawala na kumbaka na vipigo juu!!
Zitto ataambiwa muondoe huyo, anamshambulia mfadhili wa Chama!
Wana vyaka vibaraka kama ACT na CHAUMA, hata huyu Mama atafukuzwa na Zitto maana kaongea ukweli wa boss!!Kuwa mwanasiasa jamani kunahitaji uwe na uvumilivu na maneno ya majukwaani,sasa km haya tu unakamata mtu,kampeini itakuwaje?basi Kila siku mahabusu za polisi zitakuwa na wanasiasa
Mwanakulipata.Mwana kulitafuta 🐼