Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Bwana alitoa na jana aliamua kukitwaa kiumbe chake.RIP Jane"Mama Melanie"
apart from kufanya kazi vodacom.....hayati jane alikuwa nani? why so spaecial bna huyu dada..rip jane
Shocked!
Sikupata kusikia kama Herry Makange alifariki, nilimfahamu alikuwa rafiki wa mshikaji wangu Widimi wakiwa pale Ilala Bungoni Miaka ya 2000-2001!
RIP Herry Makange,
RIP Jane Mponzi.