Jane Lowassa nakuhitaji

TheBuilder

JF-Expert Member
Joined
Apr 21, 2014
Posts
237
Reaction score
212
Habari za siku tele waungwana?

Pasipo kupoteza muda niende kwenye mada.

Siku au miezi kadhaa iliyopita, mwanadada Jane Lowassa alitutangazia kuwa kipindi hicho alikuwa amejikita katika kufunga na kuomba kwa ajili ya Wana Jf kwa mahitaji na matatizo mbali mbali mbali.

Miongoni mwa watu walioomba waombewe ni mimi, sikukaa sana nikasafiri nchi jirani.
Kwa sasa shughuli zangu zinakwenda vizuri na nimerejea niko Dar, hivyo namtafuta Jane nimpe sadaka yangu.
 
Huyu ni yule mtoto wa rais wa chadema au vipi?? kama ni yeye namimi nafikiri nimebarikiwa japo ni mgeni humu.

huyu anauza kofia Lumumba nenda jukwaa la siasa uone product za lumumba fc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…