Naitumia sasa hivi, nina maoni tofauti:Hii version mpya nzuri ila inachanganya kidogo na pia ina kula Mbs kama nini!!
Yaah kwa kweli ipo fresh smooth na kadhalika, ila notifications toka version iliopita mpaka hii ndio tatizo kubwa.Naitumia sasa hivi, nina maoni tofauti:
KULA BUNDLE:
Hiyo labda kwako kama una 8MB ya siku, basically inayofaa hapo itakuwa ni Web browser tu, tena nashauri utumie tiGO kwani browsing JF via browser ni bure kama ilivyo kwa WhatsApp.
Cost inaweza kuwa downloading ya app yenyewe lakini after you download it, hii update ya leo ni rahisi zaidi na lightweight compared to the old version.
PERFORMANCE
Update hii imeongeza urahisi kwangu. Rahisi to navigate na notifications zinakuja kirahisi. Kwa tunaotumia iPhone 6s Plus au any Plus version tulikuwa na issue ya compatibility lakini sasa ni wazi imekuwa solved.
MENGINE:
Nimejaribu image attachments, ni rahisi zaidi kwa sasa.
Nimependa interface yake.
Bado naidodosa zaidi
Yaah sure sababu unaweza shangaa notifications ya juzi ndio inaingia leo!Hapa nimepata notification ndo nikaja kukujibu. Something should be wrong somewhere.
Invisible say something please?
Did you get a notification when I quoted you?Yaah sure sababu unaweza shangaa notifications ya juzi ndio inaingia leo!
Ndio napata ila pale tu napo kuwa bado nimo jf ila nikitoka sipati, ambalo ndilo lengo haswaa la notifications nafikiri.Did you get a notification when I quoted you?
Safi sana naona wameweka na night modeIko Poa hii App mpya ipo light sana thanks JF
Aaaah, you must be logged in (on the app) to get notifications.Ndio napata ila pale tu napo kuwa bado nimo jf ila nikitoka sipati, ambalo ndilo lengo haswaa la notifications nafikiri.
Natumia app kama kawaida, updates inatuma kwa njia kama kajiboksi flan hivi.Aaaah, you must be logged in (on the app) to get notifications.
That's how all apps work. Otherwise inatumaje updates sasa?
Aaaah, you must be logged in (on the app) to get notifications.
That's how all apps work. Otherwise inatumaje updates sasa?
mfano
Simu yangu IPhone 6s haisomi app ya jf na mbaya zaidi nilijatibu kui uninstall ili ni re install lakini kwenye AppStore haipo. Yaani siioni so siwezi ku install tena. Naomba ma moderators mnisaidie namna ya ku install tena JF App kwenye Simu yangu.