JamiiForums Founder Maxence Melo huu nawe ni wakati wako sasa Kugombea Ubunge kwenu Kagera au njoo kwetu Mara tukupe Jimbo utuwakilishe Bungeni

JamiiForums Founder Maxence Melo huu nawe ni wakati wako sasa Kugombea Ubunge kwenu Kagera au njoo kwetu Mara tukupe Jimbo utuwakilishe Bungeni

Na majimbo ambayo ukija Mkoani Mara tutakupa Ugombee ni ya Tarime Mjini, Serengeti na Mwibara kwa Watu waliopinda.

Cc: Maxence Melo
20240929_170116.jpg
 
mzee wako nani wewe ?, sina toto linalo beba bunduki mimi.

Nyau de adriz
Kama nilivyopoteza Ghayos Gang humu ikiongozwa na Maghayo Chawa zake The Mongolian Savage the stress challengerr na Busu la Kenge ndio hivyo wewe nakuvutia Kasi uingie kwenye 18 zangu upotee Maarass!!

Mimi natembeza Gun kwa Kengez zote humu na sijawahi shindwa battle ukija kidiplomasia nipo , Kishari nipo na Kimafia utakimbia mwenyewe . Cheki chini picha Busu la Kenge kilichomkuta Maarassmita!!!
IMG_20250630_162916.jpg
 
Kama nilivyopoteza Ghayos Gang humu ikiongozwa na Maghayo Chawa zake The Mongolian Savage the stress challengerr na Busu la Kenge ndio hivyo wewe nakuvutia Kasi uingie kwenye 18 zangu upotee Maarass!!

Mimi natembeza Gun kwa Kengez zote humu na sijawahi shindwa battle ukija kidiplomasia nipo , Kishari nipo na Kimafia utakimbia mwenyewe . Cheki chini picha Busu la Kenge kilichomkuta Maarassmita!!!View attachment 3389292
nyau de adriz, umbwaa. Busu la Kenge bado yupo sema ana kuvutia kasi upasuke
 
Kama nilivyopoteza Ghayos Gang humu ikiongozwa na Maghayo Chawa zake The Mongolian Savage the stress challengerr na Busu la Kenge ndio hivyo wewe nakuvutia Kasi uingie kwenye 18 zangu upotee Maarass!!

Mimi natembeza Gun kwa Kengez zote humu na sijawahi shindwa battle ukija kidiplomasia nipo , Kishari nipo na Kimafia utakimbia mwenyewe . Cheki chini picha Busu la Kenge kilichomkuta Maarassmita!!!View attachment 3389292


Intelligent businessman
 
Na majimbo ambayo ukija Mkoani Mara tutakupa Ugombee ni ya Tarime Mjini, Serengeti na Mwibara kwa Watu waliopinda.

Cc: Maxence Melo
Naomba kutofautiana na wewe Genta,iwapo atauwania uraisi sawa ,ila ubunge na nafasi nyingine ya kisiasa ni mwanzo wa kugeuka kuwa chawa,na kuufuta mchango wake uliotukuka katika ujenzi wa Tanzania yetu pendwa.Max,ushauri wangu kwako unalofafa ni zaidi ya ubunge,ubalozi hata uwaziri kwa mazingira yetu ya Tanzania na Africa.
 
Kwa nini mkuu wewe na Inside10 mnamuAttack sana The Game changer karibia kila nyuzi zake hamkosi kama mmeseti mitambo hauwapiti lazima muje kushambulia ?
Mwenyezi Mungu hawezi Kukuumba kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama GENTAMYCINE halafu usichukiwe na Wapumbavu, Wendawazimu na Mashoga humu Mitandaoni na Duniani.
 
Nope Mimi nimemjibu Aiylan wasalan

Nimeshangaa tu kuona mtoto wa kiumw anamwambia mwanaume mwenzake akagombee Ubunge.
Mwenyezi Mungu hawezi Kukuumba kuwa 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' kama GENTAMYCINE halafu usichukiwe na Wapumbavu, Wendawazimu na Mashoga humu Mitandaoni na Duniani.
 
Back
Top Bottom