That's among the fixed bugs.
Asante
Mkuu,Kwenye ipad na iphone app inakata sana unapojaribu kufungua.
Itakuwa huja-update. Kama hujapata automatic notification basi tembelea Google Play na utaona ikidai update. Make sure you are searching for "JamiiForums"MZALENDO Sijuwi kwako Vipi lakini Mimi hamna bugs Wala force close kwenye app.
Kujibu swali:Wakuu mimi ninatumia Samsung Galaxy Tab 2 7.0 inch. (GT-P3100), Nashangaa google store play inazingua kuinstal kwenye hii mini tab, JF ile ya kwanza niliipata kupitia 1mobile market.
Swali langu je niki uninstall ya sasa na kuinstal tena hii JF itakuwa tayari imekuwa updated au ni lazima nipitie google play store kuipata hii mpya?
Mkuu,Mkuu Invisible
Naomba muweke button ya kuandika new post. Sasa hivi huwezi kuandika habari mpya ila kujibu tu!
Ni kweli, iko kwenye marekebisho na tunatambua kuwa inazo bugs kadhaa.Mkuu vipi na ya BB maana haina haiko sawa kwakweli.
Kama nilivyomweleza Dingswayo, cheza nayo.Hongereni wakuu,but vipi mtu akitaka kuanzisha uzi anafanya fanyaje!!!au jamani simu yangu ndo haijitambui!mwanzo ulikuwa kabisa unaambiwa bofya hapa,but nime-update naona chenga.MSAADAA!!!!
Mkuu,Invisible mimi binsfsi nimeupdate hii app lakini sijaridhika nayo, naipata jf bomba sana na katika mhonekano mzuri kasoro avatar tu nikifumia opera mini labda unielimishe kama kuna settings zaidi, maana hii app advantage yake kwangu ni kuona avatar tu.
Mkuu,Sina hakika kama hapa ndo mahali pake kuuliza, ila mkuu Invisible, ninatumia iphone4, nilidownload JF app for iphone nikaipata ila kila nikijaribu kuifungua hasa kupitia "enter now" sifanikiwi. Tatizo nini?
Otherwise I appreciate kazi yenu nzuri
Genekai!!!!!!!!!
Mkuu,Kwenye ipad na iphone app inakata sana unapojaribu kufungua.
Kwa baadhi ya watu, automatically itaji-update (kulingana na settings za simu/tablets zao) na wengine watatakiwa ku-update manually. Yes, tumerekebisha yale yaloombwa kurekebishwa japo tayari mengine yashaanza kupendekezwa.
Asante