JamiiForums android app imeboreshwa!

JamiiForums android app imeboreshwa!

imebidi nikaupdate mda huu, nnaona hata muonekano umebadilika, kwa sasa naweza kuona nani amelike tofati na mwanzo, hongereni, ila sijajua kama matatozo ya mwanzo yote yamekwisha
 
Mkuu Invisible

Naomba muweke button ya kuandika new post. Sasa hivi huwezi kuandika habari mpya ila kujibu tu!
 
Kwa baadhi ya watu, automatically itaji-update (kulingana na settings za simu/tablets zao) na wengine watatakiwa ku-update manually. Yes, tumerekebisha yale yaloombwa kurekebishwa japo tayari mengine yashaanza kupendekezwa.

Asante

Mkuu vipi na ya BB maana haina haiko sawa kwakweli.
 
Asanteni sana wakuu. I hope ile kitu ya application kustop kila mara haitakuwepo tena.
Barikiweni hadi mshangae

Yani hii ilikuwa ni kero kubwa sana, kila mara nikitaka ni-tap ili niweze kureply post ya mtu inastack, ngoja nijaribu nijue kama tatizo limekua fixed au vp but i guess the bugs its already gone.. kudos JF Admins
 
Kwa baadhi ya watu, automatically itaji-update (kulingana na settings za simu/tablets zao) na wengine watatakiwa ku-update manually. Yes, tumerekebisha yale yaloombwa kurekebishwa japo tayari mengine yashaanza kupendekezwa.

Asante

Thanks a lot Invisible.
 
Last edited by a moderator:
Brilliant especially on BB its working better Now. Good Job The Invisibles!

Wakora

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Nadhani unamaanisha alichosema idawa.

Mentioning haizuiliki ila notifications tumeshalifanyia kazi. Tutaweka kwenye market soon baada ya kujiridhisha kuwa inafaa kuwa final product kutumiwa na wateja.

am waiting for notification indicator
 
Last edited by a moderator:
Hongereni wakuu,but vipi mtu akitaka kuanzisha uzi anafanya fanyaje!!!au jamani simu yangu ndo haijitambui!mwanzo ulikuwa kabisa unaambiwa bofya hapa,but nime-update naona chenga.MSAADAA!!!!
 
Wakuu JF Mods and team,
Nitumie Fursa hii kuwashukuru sana kwa ku Coordinate Mordenization ya JF app inayo run on top of android devices.
App imetulia with More exciting features.
I am going to unistall Tapatalk fasta coz haina Maana tena
 
Invisible mimi binsfsi nimeupdate hii app lakini sijaridhika nayo, naipata jf bomba sana na katika mhonekano mzuri kasoro avatar tu nikifumia opera mini labda unielimishe kama kuna settings zaidi, maana hii app advantage yake kwangu ni kuona avatar tu.
 
Last edited by a moderator:
Sina hakika kama hapa ndo mahali pake kuuliza, ila mkuu Invisible, ninatumia iphone4, nilidownload JF app for iphone nikaipata ila kila nikijaribu kuifungua hasa kupitia "enter now" sifanikiwi. Tatizo nini?

Otherwise I appreciate kazi yenu nzuri

Genekai!!!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom