wamasai-ulinzi,utembezaji wa dawa za kienyeji
wamakonde-ulinzi wa nyumba sizizoisha,uuzaji wa nguo za matumba.
wachaga-uuzaji wa pombe na kitimoto.
wapemba-uuzaji wa vyuma chakavu na spea za magari yaliyotumika.
wazaramo na wandengereko-madereva wa daladala na upiga debe.
wangoni-mafundi gereji.
waha-wauza kahawa na karanga.
wasambaa-upigaji ramli,uuzaji wa chips,maduka ya kuuza shanga za kinamama
wanyakyusa-kuendesha huduma za mahuburi
orodha yangu ni fupi sana.wadau mnaruhusiwa kuiongeza na kuhisahihisha.