kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,456
- 20,709
wamasai-ulinzi,utembezaji wa dawa za kienyeji
wamakonde-ulinzi wa nyumba zisizoisha,uuzaji wa nguo za mitumba.
wachaga-uuzaji wa pombe na nyama ya nguruwe(kitimoto).
wapemba-uuzaji wa Vyuma chakavu na spea za magari yaliyokwisha tumika.
wazaramo na wandengereko-madereva wa daladala na upiga debe.
wangoni-mafundi gereji.
waha-wauza kahawa na karanga.
wasambaa-upigaji ramli,uuzaji wa chips,maduka ya kuuza shanga za kinamama
wanyakyusa-kuendesha huduma za mahuburi,uimbaji wa nyimbo za dini.
orodha yangu ni fupi sana.wadau mnaruhusiwa kuiongeza......
wamakonde-ulinzi wa nyumba zisizoisha,uuzaji wa nguo za mitumba.
wachaga-uuzaji wa pombe na nyama ya nguruwe(kitimoto).
wapemba-uuzaji wa Vyuma chakavu na spea za magari yaliyokwisha tumika.
wazaramo na wandengereko-madereva wa daladala na upiga debe.
wangoni-mafundi gereji.
waha-wauza kahawa na karanga.
wasambaa-upigaji ramli,uuzaji wa chips,maduka ya kuuza shanga za kinamama
wanyakyusa-kuendesha huduma za mahuburi,uimbaji wa nyimbo za dini.
orodha yangu ni fupi sana.wadau mnaruhusiwa kuiongeza......