Mkuu nidhamu itatoka wapi bila kufanya hivo. Watu wenye uchu wa madaraka na tamaa binafsi dawa ni kusafisha. Tunafanyaje magugu shambani? Tuyaache yakue na mazao? Hapana tunang'oa.
Ninachokishangaa mimi chadema ni double standard.
Kuna watu hata wafanye kosa gani hawaguswi.
Nasema tena kama chadema wangekuwa fear, Mbowe angeshafukuzwa uanachama.
Lema pia angeshachukuliwa hatu za kinidhamu.
Lakini wanaadhibiwa watu fulani fulani tuu.
na tatizo ukiyaacha kama wengi wao wanavyosema ,yataambukiza mengine kwani CDM bado ni changa sana , kwa zitto sasa hivi anasubiri tu maamuzi ya waliomtuma kwa. option ya kutoka katika chama haikuwepo , hata zitto mwenyewe atakuwa anajiuliza imekuwaje , kwani alitakiwa akimalize chama, mpaka kitoweke katika ramani ya watanzani , hapo sijui kama kuna mtu angeamini upinzani tena, hongereni kamati ya mipango na intelijensia, kazi nzuri. wasio na elimu vurugu za chadema na zitto wao ni muziki wa bongo fleva na ndiyo zitto anawatumia kueneza porojo zake . kwanza naweza kusema zitto ni mkabila huwezi ukapata tatizo la kisiasa unakimbilia kwenu , tena afadhali angeenda jimboni kwake , kitendo cha kuzunguka mkoa wa kigoma ni kuleta ukabila ambao utaigawa nchi , kwamba waha wameonewa na wachaga ambacho ndicho wana kigoma wenye akili finyu wanafikiri , na kuwachukia mbowe na slaa na mimi ni muhanga wa hilo , kutokana na ukaskazini huoMkuu nidhamu itatoka wapi bila kufanya hivo. Watu wenye uchu wa madaraka na tamaa binafsi dawa ni kusafisha. Tunafanyaje magugu shambani? Tuyaache yakue na mazao? Hapana tunang'oa.
Maamuzi ya CC ya CDM hakika ni ukomavu wa kisiasa.Maamuzi ambayo katu hayawezi kuchukuliwa na chama chochote nchini.Alafu namshauri mh Zitto kwamba huu muda anaoupoteza mahakamani angeutumia kuanzisha chame chake.