Jamii inatafisri vipi yanayotokea CDM

Jamii inatafisri vipi yanayotokea CDM

jojojo

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2013
Posts
923
Reaction score
399
Ni aibu sana kwa wanasiasa hasa vijana kutuhumiwa usaliti, lakini niaibu pia kukosa suruhu ya kumaliza tatizo bila kufukuzana. Hii dhana ya usaliti imekuwepo hasa kwa sababu ya ccm kwa sababu ya undumila kuwili wakitaka kutawala milele. Lakini zzk kukubali kutumiwa ni waajabu zaidi kama ni kweli.
Zzk amekosa uwajibikaji wa pamoja kivipi kama siyo kweli anatumiwa. Kwa nini ktk kila jambo la kupinga serikali yy yuko kinyume. Huyu kweli siyo mwana cdm.
Lakini kwa nini kila anayekosea afukuzwe kwa kunyanganywa uanachama? Siasa za vyama vyetu niya kitoto sana. Msaliti muondoeni kwenye uongozi hata ubunge lkn abakie mwanachama. Sijui kwa nini hivi mimi mgeni sana kwenye siasa kwa hili siyo safi.
 
Dk.Ayoub Ryoba mhadhiri na mchambuzi wa siasa za kiafrika anasema,
wanachama wengi wa vyama vya siasa Tz hawajui ideology za vyama vyao. Utakuta chama cha siasa kina wanachama wenye mawazo na mitazamo isiyoshabihiana kabisa na ideology za vyama vyao.
 
Maamuzi ya CC ya CDM hakika ni ukomavu wa kisiasa.Maamuzi ambayo katu hayawezi kuchukuliwa na chama chochote nchini.Alafu namshauri mh Zitto kwamba huu muda anaoupoteza mahakamani angeutumia kuanzisha chame chake.
 
Ni aibu sana kwa wanasiasa hasa vijana kutuhumiwa usaliti, lakini niaibu pia kukosa suruhu ya kumaliza tatizo bila kufukuzana. Hii dhana ya usaliti imekuwepo hasa kwa sababu ya ccm kwa sababu ya undumila kuwili wakitaka kutawala milele. Lakini zzk kukubali kutumiwa ni waajabu zaidi kama ni kweli. Zzk amekosa uwajibikaji wa pamoja kivipi kama siyo kweli anatumiwa. Kwa nini ktk kila jambo la kupinga serikali yy yuko kinyume. Huyu kweli siyo mwana cdm. Lakini kwa nini kila anayekosea afukuzwe kwa kunyanganywa uanachama? Siasa za vyama vyetu niya kitoto sana. Msaliti muondoeni kwenye uongozi hata ubunge lkn abakie mwanachama. Sijui kwa nini hivi mimi mgeni sana kwenye siasa kwa hili siyo safi.
Mkuu nidhamu itatoka wapi bila kufanya hivo. Watu wenye uchu wa madaraka na tamaa binafsi dawa ni kusafisha. Tunafanyaje magugu shambani? Tuyaache yakue na mazao? Hapana tunang'oa.
 
Dk.Ayoub Ryoba mhadhiri na mchambuzi wa siasa za kiafrika anasema,
wanachama wengi wa vyama vya siasa Tz hawajui ideology za vyama vyao. Utakuta chama cha siasa kina wanachama wenye mawazo na mitazamo isiyoshabihiana kabisa na ideology za vyama vyao.

wengi wameathiriwa na ushabiki wa Yanga na Simba na wanachukulia masuala ya kisiasa kwa style hiyo
 
zitto ni sisimizi mdogo sana ccm wameshakupoteza huu ubunge unabaki kwa sababu ya mahakama tuu hukumu kesho
 
Wewe ni kifaranga tunamtaka aliyekutuma huwezi kuaongelea upande mmoja halafu uonekane wa maana hata siku moja haiwezi kutokea nyie ndiyo mnaoishi kwa kutumwa na mbowe na slaa bila hata kujitambua.
 
zitto ni sisimizi mdogo sana ccm wameshakupoteza huu ubunge unabaki kwa sababu ya mahakama tuu hukumu kesho
Mkuu subiri mwezi wa pili uishe ndipo utamjua zitto ni nani kwenye hii dunia lazima mjute kumchokoza.
 
Maamuzi ya CC ya CDM hakika ni ukomavu wa kisiasa.Maamuzi ambayo katu hayawezi kuchukuliwa na chama chochote nchini.Alafu namshauri mh Zitto kwamba huu muda anaoupoteza mahakamani angeutumia kuanzisha chame chake.
Mkuu ukomavu wa maamuzi ya cc uko wapi kila kitu kiko wazi kuwa zito kaonewa ili kuwapisha mbowe na slaa kuendesha chama kifalme bila kuhojiwa kwa vile unaongozwa kwa kufuata upepo hakika hutaujua ukweli.
 
Ni aibu sana kwa wanasiasa hasa vijana kutuhumiwa usaliti, lakini niaibu pia kukosa suruhu ya kumaliza tatizo bila kufukuzana. Hii dhana ya usaliti imekuwepo hasa kwa sababu ya ccm kwa sababu ya undumila kuwili wakitaka kutawala milele. Lakini zzk kukubali kutumiwa ni waajabu zaidi kama ni kweli.
Zzk amekosa uwajibikaji wa pamoja kivipi kama siyo kweli anatumiwa. Kwa nini ktk kila jambo la kupinga serikali yy yuko kinyume. Huyu kweli siyo mwana cdm.
Lakini kwa nini kila anayekosea afukuzwe kwa kunyanganywa uanachama? Siasa za vyama vyetu niya kitoto sana. Msaliti muondoeni kwenye uongozi hata ubunge lkn abakie mwanachama. Sijui kwa nini hivi mimi mgeni sana kwenye siasa kwa hili siyo safi.

'If you can't keep the risk, remove it COMPLETELY' looks like a philosophy of most political parties in our country. I've seen CUF, NCCR-Mageuzi and even CCM confidentely, comfotably and strategically practice it. One can definitely critically scrutinize this philosophy. Nevertheless, it evidently works better in our country's political arena.
 
Mkuu nidhamu itatoka wapi bila kufanya hivo. Watu wenye uchu wa madaraka na tamaa binafsi dawa ni kusafisha. Tunafanyaje magugu shambani? Tuyaache yakue na mazao? Hapana tunang'oa.

kamanda hiyo nidhamu isiishie kwa zito tu...........kwa sasa kuna tuhuma mpya za mwenyekt ningefurahi kuona chama kiki-apply nidhamu dhidi yake ili kutenda haki.
 
Inashangaza kuona watu wanaingiza ukabila kwenye suala la hawa CDM. Kaburu alikuwaje kawapelepeleka wakigoma akaja akawaacha njia panda. Leo najua na Zito hivyo hivyo. Tuangalie mabadiliko ya nchi na si ukabila hapa. Mnakuwa wasahaulifu namna hiyo.
 
Kwani shetani alipomkosea Mungu kwa kutaka mamlaka kama ya Mungu kilichofata nini?

Unapoandika ni lazima uwe unasource nyingi sana za kudraw hitimisho lako siyo unakuja hapa hata historia ya Dunia haufatilii,mambo ya Ufalme wa mbingu huna ...sasa utaandika nini? hewa?

Msaliti ni sawa na shetani,mchukueni huyo panya wenu kama hammtaki wapeni CUF ama NCCR ila hao walishamwambia kwanza aache tabia kama za Kafurila.
 
Maamuzi magumu sawa lakini si kwa lema,mbowe, slaa
 
Ila kila nikiwaza nashindwa kuelewa kama kweli zzk yule niliyemjuwa mimi anaweza kuwageuka wenzake hivi hivi.
 
Mkuu ukomavu wa maamuzi ya cc uko wapi kila kitu kiko wazi kuwa zito kaonewa ili kuwapisha mbowe na slaa kuendesha chama kifalme bila kuhojiwa kwa vile unaongozwa kwa kufuata upepo hakika hutaujua ukweli.
mmmh!!! makasuku wapo wengi kumbe..tha kaonewa nini???aliyemtuma kazi kitila amekubali
 
Back
Top Bottom