Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,142
- 6,947
Usipoteze mda,tumia fursa,nenda mji wenye bandari ya bahari ukaone,jinsi watu wanavyochanfamkia fursa ya pesa.Na wewe utabaki kupigs kelele.Mwalimu Nyerere,aliona mbali,hii biashara,ni nzuri sana,ya mazao ya wakulima,kupeleka Zanzibar,au wanunuwe wao kutoka kwako.Acheni ubivu,changamkieni biashara za mazao ya kilimo.Hii reply inaitwa mtazamo kimo cha mbilikimo ni wapi nimesema muunganiko ni mbaya ama uvunjwe!? Usikurupuke tulia soma kitu ukielewe kabla hujakimbilia kujibu! Una haraka gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app