Benny Haraba
JF-Expert Member
- Dec 7, 2012
- 8,397
- 6,364
Jamhuri ni kila mtu wewe,mimi na yeye mwenyewe.Tena tunajibu kazi iendeleeBinafsi sioni kama kuna tatzo maana tumezoea kuona kila utawala ukija na SLOGUN yake kama;
A) Ujamaa na Kujitegemea...
B) Ruksa...
C) Mtaji wa masikini ni nguvu zake mwenyewe...
D) Maisha bora kwa kila mtanzania....
E) Hapa kazi tu...
........ na hapo katikati tumekosa kosa MAISHA NA BATA...!!
F) Na sasa tunasalimiana ktk jina la jamuhuri ya muungano