Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 34,678
- 40,931
Mh. Rais Samia ,
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Stroke,
Dar es Salaam.
Naamini unafahamu kabisa kuwa, Mwaka 2020 wakati tunampigia kampeni Dr. Magufuli, tulikupigia kampeni na wewe ukiwa mgombea mwenza.
Tuliwaamini nyote wawili kwamba ni watu sahihi kuliongoza Taifa letu.
Sasa wewe ni Rais wetu, hakuna ubishi katika hilo.
Sasa Mh. Rais napata ukakasi kidogo kwa kauli zako , Kila unapotusalimia,
Huyu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unayemtaja ni nani hasa,
Maana ninavyofahamu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi inayotokana na Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Sasa hakuna mtu, kitu, watu, vitu kwa jina hilo.
Ingawa naelewa kwamba unataka usionekane kuwa unapendelea Dini yeyote,
Lakini Bado Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Haina hadhi ya kutajwa Kwa jina.
Sio sahihi kuipa hadhi hiyo.
Serikali Haina dini, lakini sisi raia tuna dini zetu, na hatumfahamu huyo Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mh. Rais, salami hii, inatufikirisha mno sisi wengi,
Unaweza usiambiwe ILA Kuna haja ya kuachana nayo.
Wasalaaam,
Stroke,
Dar es Salaam.