Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Jamhuri Morogoro: Mtibwa vs Simba hakuna mbabe

Over, Over, mikia, mikia, mikia, Over, mbona sikupati vizuri, unasema mumeshinda ngapii?
 
Yule mwizi wa magari kashakuwa raia wa kawaida sasa anazulula tu.
 
Na Eymael akapigilia msumari ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Mtani kumbe huu uzi unaufuatilia kwa ukaribu eee. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Chongeni na leo sisi tupo kuwasikiliza. ๐Ÿคฃ
 
Mizee imetoa sare
Oktoba 18 wakimpanga Morrison lazima awachome mikia...atageuka na kuwafunga...wakidhani ni bahati mbaya atageuka na kuwafunga tena Cha pili...usiichezee Yanga....Morrison hawezi kucheza hapo mikia...awaulize Gadiel, Kakolanya na Ajibu...katika historia hakuna mchezaji aliyewahi kutoka Yanga kwa mikwara na akaenda Simba akapata mafanikio...hakuna mchezaji wa aina hiyo...Morrison ndiyo basi tena...
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Mtani kumbe huu uzi unaufuatilia kwa ukaribu eee. ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Chongeni na leo sisi tupo kuwasikiliza. ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ humu nimepiga kambi leo na kesho ๐Ÿคฃ
 
Sana yaani.

Walijua Yanga tu ndo saizi yake kupata sare cha ajabu wameanza kusingizia eti sare ya ugenini haifanani na ya nyumbani mbona wakipata ushindi hawaongei.
Hawakosi sabaabu hao mbumbumbu fc....

Game ijayo watabadili kikosi tena wakishtuka saree
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom