DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
MWENYEKITI wa zamani wa Chama cha NCCR Mageuzi, James Mbatia, amevunja ukimya baada ya kusema kuwa anashangazwa na kesi ya uhaini inayomkabili mwenyekiti wa CHADEMA taifa Tundu Antipas Lissu.
“Upinzani wa fikra sio uadui. Kuwepo kwa mitazamo tofauti si kosa, bali ni utajiri wa mawazo unaopaswa kutumika kujenga msingi imara wa taifa letu. Tusiruhusu tofauti hizo ziendelee kutugawa,” alisema Mbatia.
“Upinzani wa fikra sio uadui. Kuwepo kwa mitazamo tofauti si kosa, bali ni utajiri wa mawazo unaopaswa kutumika kujenga msingi imara wa taifa letu. Tusiruhusu tofauti hizo ziendelee kutugawa,” alisema Mbatia.