James Mbatia, kama Mulugo

James Mbatia, kama Mulugo

Yeye anaongelea vivutio wewe unaongelea kutembelewa.

Hebu weka sawa hapo.

Hata hivyo, ukishakuwa UKAWA akili zako haziwezi kuwa sawa. Kutaka kuhatarisha amani ya nchi iliyopiganiwa kwa miaka mingi ni laana kubwa.

Hiyo ni dv5
 
Wakuu, Politicians ni watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa zaidi.

Mbatia aliongea uongo aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari (Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!

What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?

Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari ambapo Watu wanafuatilia,

Tangu aseme Tanzania hakuna MITAALA wakati watu wanasoma.., wanafanya mitihani..., kuna mfumo unaojulikana wa kuandaa walimu na certification kwa wahitimu NILIMWEKA KWENYE dustbin....
Hana tofauti na kilaza mwenzie aliyesema hakuna serikali wakati anashiniliza maandamano serikali anayodai haipo isitishe bunge la katiba!!!!


​WANASIASA WENGI WA UPINZANI TANZANIA WAKO TOO LOW NA TOO LOCAL!!!
 
Mkuu uwe makini siku nyingine unapojaribu kufafanua kauli iliyotolewa na mtu mwingine...

Kwa namna tu ulivyoandika hapa ni dhahiri kuwa uelewa wako wa lugha ya Kiswahili una mushkeli...

Kuwa na vivutio vingi ni suala moja, kutembelewa na watalii wengi ni suala jingine kabisa...

Unaweza ukawa na vivutio vingi lakini huvitangazi, sasa sijui hapo utapataje watalii wataokutembelea!!! Na pengine huu ndio ulikuwa msingi wa hoja ya Bw. Mbatia.

Unatumia kigezo kipi kusema hiki ni kivutio kwa wagen maana unaweza Kudhan unavivutio kumbe ni vitu vya kawaida sana kwa wenzetu tofauti kabisa tunavodhania
 
Yaani we ndio Mulugo mkubwa. .. Manina zakoo!!Tanzania ni nchi ya pili kwa Vivutio vya Utalii Duniani...Sema wapu...MBA..vu wachache kama wewe na baba zako,ndio wanatufanya tusijitangaze Duniani
Tofautisha vivutio na kutembelewa na Watalii...Kenge kama wewe kule kwetu tunawasokola na kuwagogola...Mbatia yupo sahihi

Halafu usipende kukaririshwa hebu google hapo kama utaiona hiyo nafas ya pili unayoigombania kwa povu
 
Unatumia kigezo kipi kusema hiki ni kivutio kwa wagen maana unaweza Kudhan unavivutio kumbe ni vitu vya kawaida sana kwa wenzetu tofauti kabisa tunavodhania

Mkuu nakuomba uanzishe thread mpya maana hiyo ni mada nyingine kabisa tofauti na inayojadiliwa hapa...
 
Halafu usipende kukaririshwa hebu google hapo kama utaiona hiyo nafas ya pili unayoigombania kwa povu

Wikipedia kwa takwimu za 2012 wanaiplace Tanzania kwenye nafasi ya 7 kati ya nchi 45 zenye vivutio vingi duniani...
 
Mkuu nakuomba uanzishe thread mpya maana hiyo ni mada nyingine kabisa tofauti na inayojadiliwa hapa...

Nataka kwanza tujiridhishe na hii kauli kuwa niwapili kwa vivutio vya utalii dunian
 
Dah mtoa post mgumu kubadilika.... ! Yani jamaa wamekufafanuliaaa weee huelewi ! Lzm liwe gamba hili !
 
Nataka kwanza tujiridhishe na hii kauli kuwa niwapili kwa vivutio vya utalii dunian

Hizo takwimu sina uhakika nazo na ndio maana sijaandika mahali popote juu ya nafasi ya nchi yetu kwenye rankings za vivutio...

Pengine walioandika hilo watakuwa na vyanzo sahihi vya takwimu hizo na watatusaidia kwa hilo...
 
[mimi huwa nawashangaa sana wanamsifia mbatia wakati jamaa fulani zembe tu hajui hata anachofanya kabisa]

Kamuulize kibaraka mrema kuhusu kazi ya mbatia................mzee wa watu halali:angry:
 
[mimi huwa nawashangaa sana wanamsifia mbatia wakati jamaa fulani zembe tu hajui hata anachofanya kabisa]

Kamuulize kibaraka mrema kuhusu kazi ya mbatia................mzee wa watu halali:angry:
 
Tanzania is a country with many tourist attractions. More than 44 per cent of Tanzania’s land area is covered with game reserves and national parks. There are 16 national parks, 29 game reserves, 40 controlled conservation areas and marine parks. Tanzania is also home to the famous Roof of Africa, Mount Kilimanjaro. On 6 January 2012 The New York Times awarded Tanzania the 7th position among 45 top destinations to visit in this year 2012.

Tourism in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Tanzania is a country with many tourist attractions. More than 44 per cent of Tanzania’s land area is covered with game reserves and national parks. There are 16 national parks, 29 game reserves, 40 controlled conservation areas and marine parks. Tanzania is also home to the famous Roof of Africa, Mount Kilimanjaro. On 6 January 2012 The New York Times awarded Tanzania the 7th position among 45 top destinations to visit in this year 2012.

Tourism in Tanzania - Wikipedia, the free encyclopedia

hapo ni wapi imeandikwa ya pili?
 
Kiwatengu, my point is not to get into argument with you or anyone over the Tanzania's position on tourist attractions. All i wanted to do is to show the facts and figures on this discussion.

hapo ni wapi imeandikwa ya pale...
 
Kiwatengu, my point is not to get into argument with you or anyone over the Tanzania's position on tourist attractions. All i wanted to do is to show the facts and figures on this discussion.

thank you!!
but Wabongo sisi ni wa ajabu sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom