Wakuu, Politicians ni
watu wa maneno mengi.
Kwa waliomsikiliza Mbatia kwenye kipindi cha Dakika 45, jana atanielewa
zaidi.
Mbatia alizungumza mambo mengi sana kuhusu uchumi as long alikuwa
anasimama kama Waziri Kivuli wa Fedha..
Kwanza alianza kusema Tanzania ni nchi ya pili Duniani kwa kuwa na
vivutio vingi vya Utalii kitu ambacho si cha kweli..
Kwa Africa tu, Tanzania inashika nafasi ya Kumi kutembelewa na watalii
kwa takwimu za 2013 kutoka (UNWTO) United Nations World Tourism
Organization..
Kama sisi ni wa pili Australia na Switzerland ni za ngapi?
Hapa lazima tufikirie nje ya box..
Mbatia aliongea Uongo mwingine aliposema
Uingereza ilihama kutoka kwenye Ukabaila kwenda kwenye Ubepari
(Feudalism to Capitalism) mwaka 1948...!!
What is this? Anatofauti gani na Mulugo aliyesema Tanzania ni muunganiko
wa nchi mbili Visiwa vya Zimbabwe na Pemba?
Wanasiasa lazma wawe makini hasa wanapo Ongea kwenye Vyombo vya habari
ambapo Watu wanafuatilia,