James Mbatia huna shukrani

James Mbatia huna shukrani

Acha kuandika ujinga ndugu, wewe kwa hiki ulichokiandika naona upo radhi kumwachia Bosi wako alale na mkeo kwa kuwa tu umepata ajira katika kampuni yake. Mbatia ameteuliwa na Rais na hakuzawadiwa kama unavyojitanabaisha na akiwa kama Mwanasiasa kamili hawezi kufuata ujinga wa CCM na kuwasaliti wananchi na hapo alipo amejijengea heshima kubwa tofauti na angeendelea kuishabikia CCM na mambo yao ya kijinga.

Good, tofauti na mrema maukimwi,kupewa pension tu amelegeeeeeeeea atagongwa bure
 
Kumbe ukiteuliwa ni lazima ufuate ya mteul???? Majanga.. kumbe ndio maana kina Mwakyembe wamebadilika hivyo baada ya uteuzi?? Huu ndo USALITI

Ndio siasa zetu zilivyo,yaani hawa wabunge wa kuteuliwa, vyeo vya kupeana ikiwemo uwaziri na sehemu zingine siku zote malengo makubwa ni kutetea maslahi ya waliokuteuwa,sasa kwa staili hii kweli nchi itaendelea jamani?tuna matatizo gani watu waafrika?anyway disco ndio limeshaingiliwa na mmasai tuone sasa kama kutachezeka!
 
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.

Watu dizain kama wewe hata ukiambiwa na bosi wako umpe mkeo alale nae unakubali kisa tu unalipa fadhira kwa bosi kwa vile alikuteua kwenda semina ya siku 2.
 
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.

Sihitaji kuandika maneno mengi kwa utumbo wako huu... AIBU.
 
UKAWa haina watu nje ya Bunge, hakuna wananchi wanaotaka kuwa na serikali za starehe. Pyuuu! Twende kwenye kura za maoni muone.
 
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.

Wewe una akili
 
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.

Acha mawazo mgando ndugu, mbona hata rais wako hana shukrani kwa waliompa urais, vipi kuhusu ahadi zake na vipi anasema zingine hazitelezeki?

Yeee ni nani basi hasilipe shukrani kwa OBAMA 'homosexual'

by,
mtazamo wangu
 
Mbatia siku zote ni mwehu tu ni mtu wa kujipendekeza ila siyo mtu wa maana sana kwenye hii jamii.

Nafikiri hujitambui!Jiangalie kisha tafakari halafu jifananishe na jilinganishe na Mh.Mbatia utapata jibu nani anajipendekeza na kujikomba kati yako wewe na yeye!
 
Ndio nyinyi mnaofanywa vibaya kwa kushindwa kutetea uovu kisa ufadhili,funguka wewe sio kwa kuwa umefadhiliwa ndio ukubali kila kitu
 
Upo gizani, nahisi hujui unazungumzia nn we ulitaka apelekeshwe kama wewe kada wa ccm, pale bungeni hajaenda kulipa fadhira kama wengi ccm walivyo ameenda kutetea wananchi na si kuwa mfuasi, kama kilichoongolewa bungeni hakina masirahi kwetu sisi wananchi zaidi ya ccm afanyeje, acha kushikwa masio wewe.
 
Je! Kuna hati ya makubaliano ya uteuzi wake? Kama hakuna hiyo hati ya makubaliano Rais hana nguvu yoyote kisheria juu ya Mbatia kwani sheria inampatia Rais mamlaka kumteua mbunge tu basi.

Mbatia songa mbele watanzania tuko nyuma yako.
 
Back
Top Bottom