kibogo
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 9,739
- 4,745
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.
Acha kuandika ujinga ndugu, wewe kwa hiki ulichokiandika naona upo radhi kumwachia Bosi wako alale na mkeo kwa kuwa tu umepata ajira katika kampuni yake. Mbatia ameteuliwa na Rais na hakuzawadiwa kama unavyojitanabaisha na akiwa kama Mwanasiasa kamili hawezi kufuata ujinga wa CCM na kuwasaliti wananchi na hapo alipo amejijengea heshima kubwa tofauti na angeendelea kuishabikia CCM na mambo yao ya kijinga.