James Mbatia huna shukrani

James Mbatia huna shukrani

Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.
Rais hakumteua kama zawadi. alitambua na kukubali mchango wake.
Ila Mbatia atawasaliti wenzie kama Zitto alivyowasaliti Chadema. kikwete mjanja sana.
 
Mbatia anajitambua, tofauti na mainterahamwe ambayo asilimia kubwa ya akili zao zinashikiliwa magogoni, hapo dodoma wamebakishiwa kiasi kidogo tu kutosha kutukana,kuzomea na kuvukia barabara.
 
Kunatofauti ya kuishi kwa usaliti

1. Masumbuko Lamwai

2. Augastine Lyatonga Mrema

3. Prof Shivj
Nk

Hawa wanaishi kwa kuweka uwezo na akili zao mifukoni, wanatumika kupotosha na kuangamiza haki ya waliowengi kwa ushawishi wa elimu, nafasi na umaarufu wao

Kuishi kwa ukweli bila kujali ukweli huo unamuumiza aliyekuteuwa kwa lengo la kutmika na kumtumikia kuficha uchafu na uovu wake.

James Mbatia ni muumini wa kweli wa kutafuta utatuzi wa matatizo na kero mbalimbali za kiuchumi, kijamii na kisiasa zinazowafedhehesha watanzania na kuwatia aiubu muda wote kwa umaskini usioelezeka.

Nikutokana na ujasili, weledi na uelewa wa Mh Mbatia kwamba hawezi kuwasaliti waliowengi kwa manufaa ya koo za wachache kuhozi utajiri wa Taifa hili.

Mbatia ni hazina kwa Taifa la watu makini na wakweli kwa faida ya wote.

umemaliza
 
Asingeingia kwa ubunge BMK angeingia kwa uwenyekiti wake wa NCCR. Kwahiyo kuteuliwa kuwa mgombea ubunge kwa ticket ya CCM shukrani ni kusaliti Umma kwa hoja nyepesi?
 
Sikubali neno Intarahamwe litumike.
Linawakumbusha ndg zetu wa Rwanda machungu ya genocide.
Lipumba karopoka bila kujua madhara.
neno magamba linawatosha kabisa.
Cuf wakiitwa mwamsho wanapiga kelele kwan linahusisha iman ya kiroho.
Chadema wakiitwa wachagga na wakristo linawakosesha amani.
 
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.
Duh, inahitaji kweli kuchonganisha hivi?
 
Hivi kwani mbatia hakuwa maarufu hadi wakati anateuliwa? Ivi kulikuwa na makubaliano kuwa akiteuliwa atatetea maovu ya ccm
 
Hivi umaarufu unaodai Mbatia anatafuta kwa kujiunga na Ukawa, Unafaida gani hapa Tanzania. Kama Mbatia siyo maarufu kiasi cha kuanza kuutafuta kwa Ukawa Mwenyekith wako alimjuaje mpaka akamteua kuwa Mbunge?

Macc mbona mnashida ya kushindwa kujenga hoja hivi mnashindwa angalau kutumia siku moja kusoma Hoja zinazotolewa na wenzenu wa Cdm then nanyi mjifunze namna ya kujenga hoja? Mmevimbiwa na kulewa mihela ya mafisadi kiasi cha kupofusha ubongo wenu.

BACK TANGANYIKA
 
Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.[/QUOTE



Ulitaka asujudu upuuzi wa CCM, you must be idiot
 
Kumbe unajua anachokifanysa n cha kimaarufu we huna akili unataka ajiunge na kundi la shetan lililojaa waongo
 
Mbatia yuko ukawa kwa kazi maalumu ya serikali na pia mtikila.
 
Hongera mh mbatia kwa ujasiri, jamani hatuez fanana wooote kila mtu anapenda akipendacho na kuamini anachokiamini,wakati anateuliwa sidhani kama alipewa condition kwamva ccm watachotaka lazma na wewe utake na kama aliambiwa ivyo akakubali na leo kaeemnda agaist basi kakosa shukran bt kama ulikua ni uteuzi usio na mashart mwacheni afanye yake anachama chake kina sera zake na ana haki ya kufanya chochote anacho
 
Mbatia anajitambua, tofauti na mainterahamwe ambayo asilimia kubwa ya akili zao zinashikiliwa magogoni, hapo dodoma wamebakishiwa kiasi kidogo tu kutosha kutukana,kuzomea na kuvukia barabara.

Mkuu nilishawahi kuwaambia hapa kwamba hawa ccm akilizao kafanazo Nyerere.
 
Mhe. Mbatia ni kati ya wasomi, wanasiasa na wazalendo wa nchi hii wa kupigia mfano. Huyu ni mwanamageuzi hasa sio kama akina mrema wanaoahidiwa kupewa mafao yao haraka kisa kupingana na UKAWA. Watz wenzangu huu ndio wakati wa kujua mpinzani wa kweli ktk siasa za nchi hii.

Mungu Ibariki Tanganyika, mungu Ibariki Zanzibar, mungu Ibariki Tanzania.
 
Kumbe ukiteuliwa ni lazima ufuate ya mteul???? Majanga.. kumbe ndio maana kina Mwakyembe wamebadilika hivyo baada ya uteuzi?? Huu ndo USALITI

"In the end, we will remember not the words of our enemies, but the silence of our friends" - Martin Luther King Jr
 
wewe ulitakiwa uwe mirembe. nashangaa upo mitaani.

Nimekuwa nikufuatilia matamshi ya mbunge wa kuteuliwa Mheshimiwa James Mbatia kwa muda sasa,nilichogundua ni kwamba huyu mheshimiwa kwa makusudi kabisa ameamua kusaliti mamlaka iliyomzawadia ubunge na kuamua kujiunga na kundi lisilo rasmi la Ukawa kwa ajili tu ya kutaka kujitafutia umaarufu.
 
CDM walisema amehongwa ubunge lakini sasa wanamsifia.sasa ndio mjue JK ni mtu wa namna gani.

kikwete alimhonga ubunge akitarajia kuwa atakuwa msaliti! professionally mbatia ni engineer, na engineer wa ukweli huwa anasimamia anachokiamini!
 
anajitambua na kutambua wajibu wake kwa Taifa hili, hawezi kuburuzwa kwa vile tu ni mbunge wa kuteuliwa na kukubali kupoteza credibility yake pengine kama waliotajwa hapo juu
 
Back
Top Bottom