Uchaguzi 2020 Jambo wanalopaswa kufahamu CHADEMA, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha

.
IMG_20200902_222713.jpg
 
Hakuna siasa za kistaarabu tena. nakubaliana nawe 100%. Kama mbinu hazitabadilika, hakutakuwa na matokeo tofauti. Itabidi mbinu zilizomtoa Karume 1972 madarakani zitumike. Kura hazitaleta mabadiliko yoyote.
 
Hakuna siasa za kistaarabu tena. nakubaliana nawe 100%. Kama mbinu hazitabadilika, hakutakuwa na matokeo tofauti. Itabidi mbinu zilizomtoa Karume 1972 madarakani zitumike. Kura hazitaleta mabadiliko yoyote.
Mkuu, viongozi wetu huwa tunawapeleka Ikulu Kwa Kura zetu, na huu ni wakati wa kufanya hivyo

Vipi tena mkuu, huendi kupiga Kura?
 
Uliongea neno la kinabii sana ndugu. Leo nakubaliana na wewe sana. Na tuanze hili kwenye kupiga kura na kulinda kura hapo kesho
 
Tundu Lissu, Zitto - Ushauri mzuri sana huu. Maalim amekuwa akishinda tangu 1995. Wezi wanaiba na wanapeta mtaani. Tunaishi nao kwa miongo na miongo. Kama hakuna repercussions kwa wezi, CCM wataendelea kuongoza nchi kwa msaada wa jeshi/polisi/NEC/ZEC. Sijui kama kuna nchi ambayo mkuu wa tume ya uchaguzi anamtangaza aliyeshindwa kuwa mshindi halafu yeye na familia yake wanaendelea na maisha yao mtaani kama kawaida - wanaenda bichi, shuleni, sokoni... bila ya wasiwasi. Time to think outside the box.
Rais wa CCM na CCM yake, na polisi wake na wateule wake na vyombo vingine vya kisheria na dola, hawaamini katika demokrasia. Wao wakisikia Chadema wanachukulia kama ni waasi au magaidi. Kwa hiyo wanapambana kwa njia zote zisizo za kidemokrasia, bila kujali dhuluma wanayofanya kwa wananchi wanaotumia muda wao mwingi kwenye kwenye mikutano ya kampeni na kwenye foleni, wakisubiri kupiga kura. Mbaya zaidi, CCM wako tayari kufanya mauaji kwa viongozi na wafuasi wa Chadema, tena wakishirikiana na vyombo vya dola na viongozi wa serikali ya CCM.
Jambo wanalopaswa kufahamu Chadema, ni kwamba muda wa kufanya siasa za kistaarabu umekwisha.
Sikuwahi kukubaliana na wanaosema Watanzania hatuwezi kuheshimiana kwa sababu hatukuwahi kumwaga damu wenyewe kwa wenyewe, lakini sasa nakubaliana nawo. Sihamasishi kumwaga damu, lakini nakubali kwamba dhuluma inafanyika kwa sababu hatuheshimiani, na hatuheshimiani kwa sababu hatujatoana damu.
Dhuluma wanayofanyiwa Chadema itaendelea, kama wao wataendelea kusubiri siku ambayo CCM watakubali kukaa mezani, hiyo siku haiwezi kutokea. Hakuna mazungumzo kati ya mtu anayepoteza (looser) na mtu anayefaidika (beneficiary). Mazungumzo na suluhu vitakuja vyenyewe ikiwa wote mnapoteza.

Kila kukicha tunasikia kiongozi wa CDM amechinjwa, mara amepotea, mara amekatwa katwa mapanga na kutupwa mtaroni, mwingine ametiwa ndani kwa amri ya mkuu wa wilaya, wengine wanachomwa visu....hatusikii wa CCM wakifanyiwa hayo. Kwa hali hiyo, hakuna suluhu, kwa sababu anayepoteza (CDM) analialia, mnufaika (CCM) anafurahi. Lakini kama wote watalia, suluhu itakuja bila kuitwa.

Jambo wanalopaswa kufanya Chadema ni kujiandaa kifedha na kiintelijensia kabla ya 2020, la sivyo hawatapata jimbo hata moja.
Kujiandaa kifedha ni rahisi kuliko kujiandaa kiintelijensia. CCM hawana intelijensia zaidi ya kutegemea vyombo vya kiserikali. Lakini kama Chadema itawekeza kiuhakika kwenye intelijensia, ni Jeshi la wananchi pekee ndio litaweza kuidhibiti. "Jeshi" tu ndio chombo cha kogopa, na kuheshimu kiasi.
Idara ya usalama imejaa 'corrupts' na 'ignorant'. Wachache wanaojitambua hawawezi kufanya ujinga wa CCM, na hata wakirubuniwa hawawezi kufanya ujinga wa CCM kwa ufanisi wa kutosha. "Mtu anayefanya kazi kwa kurubuniwa au kulazimishwa hawezi kuifanya kwa ufanisi wa kutosha".
Zaidi wanaojitambua ndani ya vyombo vya dola, watakuwa radhi kutoa ushirikiano kwa Chadema kuliko CCM.
Na kwa hiyo, Chadema ikitaka kuunda intelijensia imara, itahitaji watu wa kujitolea. Ogopa mtu anayejitolea kupambana. Lakini pia anayejitolea anaweza kuwa 'ametumwa'.
Anyway! Jambo la msingi ndio hilo, kujiandaa. La sivyo, hakuna jimbo litaenda Chadema mwaka 2020. Kwanza hakutakuwa na uchaguzi zaidi ya vituko, na kama kweli Chadema wanataka kuirudisha nchi kwenye mstari, ni vema kujiandaa na vituko hivyo. Haipaswi hata kidogo kusubiri "Rais Mstaarabu" ili kupambana, hapana. Anayestahili "kupigwa" ni mtu asiye na ustaarabu. Mwaka 2020 unapaswa kuwa mwaka wa kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu tunavyofanyiana watanzania wenyewe kwa wenyewe. Na njia pekee iliyobaki ya kukomesha vitendo visivyo vya kistaarabu, ni kuwafanyia hao wahusika, vitendo visivyo vya kistaarabu.

Msimamizi anayetangaza matokeo ya uongo, halafu akaendelea kuishi kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Mkuu wa polisi anayetuma polisi kutishia watu, kupiga raia na kusaidia CCM, akiachwa aendelee kula maisha kwa raha mustarehe, atarudia tena.

Kila kiumbe kinachofanya ujinga, kikaachwa kiendelee kuishi kwa raha mustarehe, kitarudia ujinga wake.

Kiongozi wa tume ya uchaguzi anayetumiwa na CCM kudhulumu demokrasia akiachwa aendelee kula maisha, atarudia tena.

Hao, wanatakiwa kukomeshwa, ili iwe funzo kwao na kwa wengine wenye tabia kama zao, na iwe funzo kwa anayewatuma.
Ukitaka kuua Nyoka, kata kichwa, ukishindwa, kata hata mkia, uwezekano ni kuwa atakimbia lakini tayari umempumguzia nguvu.

Nani mwenye uwezo wa kuwakomesha, bila kujiingiza katika mgogoro wa kisheria? Ndio hapo pa kuandaa intelijensia imara. Lawama ni bora kuliko fedheha, na katika hili anayestahili lawama ni CCM, na fedheha ni kwa Chadema. Mwaka 2020, Chadema ni vema walaumiwe kuliko kufedheheka.

Hata hivyo viongozi wakubwa wa Chadema hawapaswi kujiingiza katika hayo, kwasababu watakamatwa na kufungwa mara moja.
Na sisi wengine, tu waumini wa ubinadamu, ni rahisi zaidi kuachana na siasa kuliko kufanya hayo, hatuwezi hayo.

mr mkiki.
 
Natamani kusikia kilio chenu kesho mkiombolezea kushindwa kwenu

Maana ninyi tushagawazoea, Mitandaoni huwa mnatuchosha Sana, Lakini kwenye kupiga Kura CCM ndio hufanya kweli
Ni kweli lakini kawaulize wajinga wenzako risasi za nini wakati huu
 
Tundu Lissu, Zitto - Ushauri mzuri sana huu. Maalim amekuwa akishinda tangu 1995. Wezi wanaiba na wanapeta mtaani. Tunaishi nao kwa miongo na miongo. Kama hakuna repurcussions kwa wezi, CCM wataendelea kuongoza nchi kwa msaada wa jeshi/polisi/NEC/ZEC. Sijui kama kuna nchi ambayo mkuu wa tume ya uchaguzi anamtangaza aliyeshindwa kuwa mshindi halafu yeye na familia yake wanaendelea na maisha yao mtaani kama kawaida - wanaenda bichi, shuleni, sokoni... bila ya wasiwasi. Time to think outside the box.
Hoja fikilishi hii,wanaharibu maisha ya mamilioni ya watu wao wanakula goodtime,why tusionjeshane shida wote ili tujue utamu na uchungu wake?
 
Back
Top Bottom