baba bora
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,500
- 1,096
Salaam
Imekuwa Kawaida kwangu mwili kusisimka Yani kama nimemwagiwa maji ya baridi Nikipita maeneo baadhi
Zaidi ya Mara tano nikiwa kwenye mizunguko najikuta nafika sehemu nguvu za kuendelea sina nageuza bila kufika nilipo kuwa naenda tena Sio kwa hiyari na jikuta tu nimegeuza
Nimejaribu kuulizia kwa ndugu Jamaa nao hawana majibu. Kwanini iwe hivyo
Jf kuna Wataalamu kila Aina mnisaidie
Cc mshana Jr
Imekuwa Kawaida kwangu mwili kusisimka Yani kama nimemwagiwa maji ya baridi Nikipita maeneo baadhi
Zaidi ya Mara tano nikiwa kwenye mizunguko najikuta nafika sehemu nguvu za kuendelea sina nageuza bila kufika nilipo kuwa naenda tena Sio kwa hiyari na jikuta tu nimegeuza
Nimejaribu kuulizia kwa ndugu Jamaa nao hawana majibu. Kwanini iwe hivyo
Jf kuna Wataalamu kila Aina mnisaidie
Cc mshana Jr