hivi kwa nini kila uchao jina la profesa linakuwa kama tusi?
maji marefu,kuna profesa mwingine anaosha magari pale hospitali ya mkoa wa dodoma,profesa shivji,profesa mama wa dili la kigamboni,profesa juma kapuya,profesa jumanne maghembe nk.
yaani nikifikia hicho cheo naruka bora nibaki na jina langu au nikaitwa ndugu kama nyerere.