Hata kama inasemwa mtoto akililia wembe mpe, lakini bado inategemea mzazi na mzazi,uchungu alionao mzazi husika na kiwango cha ujinga alichonacho Lis....sorry mtoto.
Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mihadhara ya prof Shivji, huoni kama maelezo yake yana pishana na maandishi ya vitabu vyake vya nwanzo? Kama hujaelewa basi una matatizo?