Huyo ni kibaka wala c jambaz4Hivi tafsiri ya jambazi sugu ni ipi?
Kuiba masufuria na krates?
Mali iliyo kutwa ndani ya nyumba ya jambazi hilo,inasemekana alikuwa anawapiga watu nondo za kichwa kabla ya kupora mali
Na alikuwa ana vunja nyumba za watu
hivi tafsiri ya jambazi sugu ni ipi?
kuiba masufuria na krates?