Nyati
JF-Expert Member
- Mar 6, 2009
- 2,491
- 1,831
"Thinking outside the box" Nafikiri hapa kuna tatizo la kutojiandaa, wenzetu wanaandaliwa na Lecturer kwenda kutangaza vyuo hivyo. Vyuo vyetu havijagundua hilo, Maswali yale siyo magumu bali wanafunzi wanaoenda pale wanakuwa hawawezi ama hawajatayarishwa vizuri . Ukiuulizia process ya kuwachagua washiriki huku kwetu utakuwa hakuna bali watu wanaokotwa kwa kujuana tu. Wenzetu ni Mchujo toka mwanzo na Best ndiyo wanaenda. Lazima tujue Poor preparation
..
Mdau mwingine ameongelea EA community ni kwamba hapo ndo tutalia si kwa sababu wenzetu ni wazuri, bali wao wanajipanga. Toka Mwanzo wao hasa Wakenya walikuwa na Wizara, sisi hatukuwa nayo, wao wakija kwenye Mijadala wanakuwa wamejitayarisha na kuweka mambo yao sawa sisi sifuri. Msingi mbaya tutaumia tu, na wana-SIHASA wetu wanataka waitwe "President, Minister, etc of EA country". Mseveni alisema hawezi kuachia uraisi hadi pale atakapokuwa RAIS WA KWANZA WA AFRICA MASHARIKI
Mdau aliyeulizia juu ya Communication barrier kizazi cha st.yyyy kinaanza kuondoa tatizo hilo.
Mdau mwingine ameongelea EA community ni kwamba hapo ndo tutalia si kwa sababu wenzetu ni wazuri, bali wao wanajipanga. Toka Mwanzo wao hasa Wakenya walikuwa na Wizara, sisi hatukuwa nayo, wao wakija kwenye Mijadala wanakuwa wamejitayarisha na kuweka mambo yao sawa sisi sifuri. Msingi mbaya tutaumia tu, na wana-SIHASA wetu wanataka waitwe "President, Minister, etc of EA country". Mseveni alisema hawezi kuachia uraisi hadi pale atakapokuwa RAIS WA KWANZA WA AFRICA MASHARIKI
Mdau aliyeulizia juu ya Communication barrier kizazi cha st.yyyy kinaanza kuondoa tatizo hilo.