Good....,na karibu mkuu.Kutana nae mara 10 utakuwa umempa laki tano,coz kutoa kwa mkupuo shida kwako.
Good....,na karibu mkuu.Kutana nae mara 10 utakuwa umempa laki tano,coz kutoa kwa mkupuo shida kwako.
Ushauri wa bure kwako jb ni kuwa jenga kwanza nyumba kwa kuwa kiwanja chako pale mbweni kina msingi na unalalamika kila siku kuwa huna hela sasa hizo elfu hamsnii unazohonga jiulize ni mmifuko mingapi ya simentimara unatafuta mwanamke mwenye bikira mara ohh jamani nipeni namba ya jack wolper ka mwenzetu una pepo aumahausgirl wewe mhhh kazi kweli kweli mkeo masikini hajui yote haya na sidhani kama hata mafuta unamwekeaaga kwenye gari hebu fanyiwa maombi kaka uache hizo ofisi nzima wajua uchuro wako badilika
Ushauri wa bure kwako jb ni kuwa jenga kwanza nyumba kwa kuwa kiwanja chako pale mbweni kina msingi na unalalamika kila siku kuwa huna hela sasa hizo elfu hamsnii unazohonga jiulize ni mmifuko mingapi ya simentimara unatafuta mwanamke mwenye bikira mara ohh jamani nipeni namba ya jack wolper ka mwenzetu una pepo aumahausgirl wewe mhhh kazi kweli kweli mkeo masikini hajui yote haya na sidhani kama hata mafuta unamwekeaaga kwenye gari hebu fanyiwa maombi kaka uache hizo ofisi nzima wajua uchuro wako badilika
Hebu ni pm kuna mengine si vema tukawakuza walio wadogo jfUshauri mzuri uache umalaya na utunze watoto wako bado wadogo j na mwenzie
Kutana nae mara 10 utakuwa umempa laki tano,coz kutoa kwa mkupuo shida kwako.
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!
Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:
Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.
Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!