Jamani yeyote anaemtaka huyu demu!

Jamani yeyote anaemtaka huyu demu!

umemtoa kwa hamsini????
umemhonga elfu hamsini?na kutembea nae bado sio??????

sasa hapo si umejitangaza buzi????/afanyaje??????

Maadam umejitangazia kuwa wewe BUZI ni lazima uchunwe!
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!

uliyataka ndo shida ya kuwaingilia mademu kwa pupaaaaaa....tuma sasa
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!

uliyataka hayooo...
 
alishaanalia movies zako kwahiyo anajua mahela unayo. Nalog off
 
umempa 50 mwenzio akajua kapata ng'ombe wa maziwa anataka kukamua! Kwikwikwi
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!
we nawe ......... loh! utatoaje hela ivo kirahisi sasa unaombwa laki 5 unalia nn sasa wakati ww ndio ulilianzisha loh!
amekuona mrahisi ndio maaaaaana
 
Jomba now days wakina dude wapo hadi kwenye mapenzi! Hela utatoa lakin ile maneno huigus
 
da dei one hamsini? natamani ningepata hiyo bahati naomba ni pm hata mimi mzuri na nakuhaidi nitakuwa mwaminifu na sitakupiga mizinga mikubwa
Mmmhh nishang'atwa na nyoka sina imani na nyie viumbe ng'oooo! Ni pm wewe!
 
Umemp kweli 50 au hashuo tuu! na ulimpa kusaidia au ulimpa ya kupandia tax aje mkutane?
 
Hahahah wanawake wengine wanajidharaulisha sana. Day one unaenda lunch, unashikishwa 50 bado unalete ujinga wako. Watu hawajui kucheza nakarata zao. Ungedondoka mikononi mwangu ungejuta maana hela ungeleta mwenyewe bila kusema chochote!! ukuje kwangu mwaya achana na huyo jini mahaba! lol.

Tuombe mungu si naweza kuomba hifadhi kwako my dear! Ila unichune sana!
 
Unatuzingua tu rafiki yetu,maana umeshajitangaza kuwa unazo mpe!
 
Yaani laki tano tu ndio unamuanzishia tread JF? Kama mwenzio ana shida si umsaidie tu!
 
Kaka unatoa mahali kabisa hiyo hamsini, mbona buku siku hizi inakubarika unampa tigo rusha tu unamuongezea ili aweze kupata airtime ya kuongea na buzz lake jingine na wewe unakuwa umepata hapo. Hawa ni cha wote wanapokea kuanzia airtinme ya 250 mpaka corolla.
 
Kutana nae mara 10 utakuwa umempa laki tano,coz kutoa kwa mkupuo shida kwako.
 
Baada ya kurejea bongo leo nikiwa kwenye pirika zangu za kikazi nikabahatika kukutana na mrembo wa haja!

Yani demu nimeonana nae kwa mara yakwanza mchana wa leo,na nikamtoa hamsini hataratiba ya kula tunda tu bado eti jioni hii kananitumia sms hii jamani:

Habari yako sweet?sasa kunashida moja imejitokeza kidogo naomba nisaidie laki tano (500,000/=) ni2mie kwa njia ya m-pesa namba iyo 076... plz.

Sijajibu chochote na anabp sasa hv kwa fujo sana!
We bado sana.
 
Back
Top Bottom